Chemsha bongo: Thibitisha hapa kuwa wewe una vyeti orijino

 
Wacha maneno weka muziki...umezunguuka sana.

Watu wengine kueleweshwa kitu huwa awahitaji maelezo mengi.

Unawachanganya..
hahahahaaa mbona maelezo kitonga kabisa hayo....[emoji3]
 
Mmeanza kuleta habari za Facebook huku!!! Hapo umekula hasara ya 20, mkate 2000/= , Chenji 8000/= na 10000/= ya jirani ako
 
Jibu ni c 10000 kumbuka 8000 uliyomrudishia mteja na 2000 uliyobaki nayo umeitoa kwa jirani baada ya kuomba chenji hivyo basi ile pesa feki ukirudishiwa na jirani na ww kumrudishia pesa yake original inamaana ya kwamba ile hasara sasa iko kwako ambayo ni thamani ya mkate 2000 na 8000 ya chenji.
 
Mkate wa 2000 na chenji ya 8000 jumla 10000....kama kuna mtu anajibu zaid ya hilo basi atakuwa bashite
 
Hasara jumla sh 20,000
Sh 2,000 bei ya mkate, sh 8,000 chenji kwa mteja na sh 10,000 kumlipa jirani
haaaahaaaahhh daah nimecheka sana mwanangu umeua
 
Hasara sh 8000
Kiuhalisia jirani anatolewa kwenye hesabu katoa pesa kisha karudishiwa.
Pili Jamaa ilibid apate hasara ya 10000 ila alibakiza 2000 halali km mauzo ambayo ilibaki toka kwa jirani.
Hvo jamaa anapata hasara 8000.
 
Leo nimeamini kuwa somo la hesabu ni gumu sana nchi hii kama hesabu ndogo km hii wameishindwa
 
Hasara sh 8000
Kiuhalisia jirani anatolewa kwenye hesabu katoa pesa kisha karudishiwa.
Pili Jamaa ilibid apate hasara ya 10000 ila alibakiza 2000 halali km mauzo ambayo ilibaki toka kwa jirani.
Hvo jamaa anapata hasara 8000.
apa umekoroga chukulia ile elfu kumi ni yakwako hukuiomba kwa jirani alaf mrudishie elfu nane kwahiyo elfu mbili uliyo ikata hapo ni faida au hasara yako ni ile elfu ambayo n fake kwahyo una loss ya elfu kumi tu
 
Bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…