kwa maana alivoibiwa sh 100 kwa mara ya kwanza alikua kapoteza yote sh 100/-, yule mwizi alivokuja tena kununua na kutoa ile sh 100/= muuza duka alikua hajaibiwa kitu, ila baada ya kurudisha sh 30/- na thamani ya kitu cha sh 70/- jumla yake inakuja sh 100/- tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.