Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Xaxa tupe jibu maana cc tumexhindwa mkubwa😆😆yani ningekuwa mwl hapa,full kucharaza watu bakora😂😂
Xaxa tupe jibu maana cc tumexhindwa mkubwa😆😆yani ningekuwa mwl hapa,full kucharaza watu bakora😂😂
Tukikupa jibuMwalimu akiwa katika mazungumzo na wanafunzi wake akawaambia "Kama jana ingelikuwa kesho basi leo ingelikuwa jumamosi" je mwl aliitoa kauli hiyo siku gani?
Binafsi sina jibu[emoji13][emoji13]
Ingawaje sikuwa na jibu ila hili limenishwashi giniazJUMATATU
Jumatatu kwa sababu hii:
Anaposema kama jana ingelikuwa kesho, maana yake anamaanisha Jumapili(ambayo ndio jana(siku kabla ya jumatatu)) ingelikuwa kesho basi leo ingekuwa jumamosi.
Sent using Jamii Forums mobile app