Chemsha Bongo

Mi nikisema mmejazwa ujinga sasa mnaongea mengine. Kweli nimeshundwa mambo ya X+Y=Z, na hili linishinde?

Hapo hamna jibu sahihi. Anaejiamini aje tushushiane mistari. Hizo hesabu labda kwa kichaa.
Kuwa mpole tu....
Ni mambo ya IQ......sio kukariri πŸ˜‚
 
Jibu ni kwamba hata wewe mtoa mada huna tofauti na mimi kwenye x+y.

Af uone watakavotililika kukujibuπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
mozeh njoo hapa basi. Mwalimu mwingine huyu hapa. Kweli huyu alifundishwa hizi hesabu? Yeye na walimu wake wa hisabati wote,nawafutia madaraja(ila si ya kuvukia mitaani kwao). Ujinga mtupu. Yaani anatuona vilaza mpaka 7=42??? Af eti wanaumiza vichwa kujibu!!! Hili ni sawa na kuuliza kwenye dangulo wapo mabikra wangapi
 
Professa Joannah njoo uone ujinga ulioko hapa unambie kama ada huyu alolipiwa hastahili kurudisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…