Noel Leonard Mgeni
Member
- May 29, 2013
- 62
- 42
:CHEMSHA BONGO: Nataka kujua kama ww ni mtoto wa TOWN, Sehemu gani hapa TANZANIA kuna majengo ya kifahari na hiyo hiyo sehemu jina lake ni chombo cha kupikia jikoni hilo hilo jina ni jina la msanii maarufu wa bongo movie naomba jibu?