Chenge aongezewa shitaka

Chenge aongezewa shitaka

Siku akijaribu kuua ndugu yangu sikubali mambo ya kusafirisha maiti wala pesa ila nami namvaa mbaya iwe mbaya. Tena sintajali ni nani na ana wadhifa gani. Lazima nimuwinde nijilipize kisasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wamezoea sana sasa. Tena wameifanya fashion

POLE ukishadumbukiziwa vijisenti, hata kumtafuta kulipiza utawahi, hata ndugu yake viki alisema hivyo 'Sikubali..sikubali' sasa wako kimya wanakula vijisenti na wametulia nasikia hata hawataki kuhojiwa na Mapaparazi juu ya habari za Chenge, baada ya Mgeja swahiba mkubwa wa Chenge kuwapatia kifuta Uhai..No kifuta maChozi.
 
POLE ukishadumbukiziwa vijisenti, hata kumtafuta kulipiza utawahi, hata ndugu yake viki alisema hivyo 'Sikubali..sikubali' sasa wako kimya wanakula vijisenti na wametulia nasikia hata hawataki kuhojiwa na Mapaparazi juu ya habari za Chenge, baada ya Mgeja swahiba mkubwa wa Chenge kuwapatia kifuta Uhai..No kifuta maChozi.
Na atasema ni amri ya mungu
 
Hili la bima ndugu zangu tujifunze,hebu tujiulize (kwa wenye magari) ni mara ngapi asubuhi kabla ya kuondoka nyumbani umekagua stika ya bima na road licence kama ni valid? tukubaliane ni mara chache.this is a lesson for all!
 
Na kweli ndugu yangu lakini sisi walala hoi tuna hakika na gari zetu kabla kuondoka home. Hawa hawa wakubwa ndio wana matatizo kwa sababu eti ni wakubwa na wabunge so hata hawa traffic wanawaongopa kukagua gari yao.

Swali ni hivi kaka yangu kwani kazi ya traffic polisi ni nini hasa ??? kuwanyanyasa wadogo au laa ??? Tuna subiri kuona hiyo case yake huyo the so called Chenge na mauaji itachukuliwaje na hiyo Serikali yetu. Wamezoea kutunyanyasa wadogo eti kwa sababu sisi sio mabunge wala mkubwa ya Serikali. Kweli hasa huyo Chenge alaniwe na asione rehema ya Mungu kwa ushirikina yake na kiburi kuiba pesa za waTanzania na kututukana, kukebe na kukashfu eti VISENTI. ALANIWE NA FAMILIA YAKE YOTE MPAKA VIZAZI NA VIZAZI.
 
hehehe
yule dereva anashtakiwa kwa kuokoa maisha yake kwa kuruka kutoka kwenye chombo alipoona hana njia ya kukwepa mbogo aliyecharuka.
ina maana angefariki kwenye ajali pasingekuwa na tuhuma dhidi yake. unajua ajali kama ile mtu unapagawa na inabidi kujihami sana kwani kama angepatikana nadhan mheshimiwa asingekuwa na kesi kubwa sana maana dereva wa bajaji angesulubika kirahisi mno.
 
Mjadala huu wote wa nini?
Hamjui kwamba viongozi mliowachagua si Chenge pekee bali nina maanisha wote mliowachagua kama viongozi wenu( hapana nina maana watawala wenu) at the same time mmewapa tiketi ya kuwaueni, tena kuua yeyote kwa namna yeyote bila kesi?
Hadi pale wadanganyika tutakapokuwa tumejua kuwa tuko katika utawala mbovu sana tangu uhuru yaani utawala usiokuwa wa sheria kwa wakubwa lakini ni washeria kwa wadogo, hapo tutakapokuwa tumeamka katika usingizi huo, hapatatokea uvunjifu wa sheria wa viongozi wetu kwa dharau kubwa kama ninayoiona sasa hivi.
Lakini wasubiri tu iko siku watu wanachoka na mbaya inakuwa mbaya.
.
 
Naona SREDI zinapewa ufufuo na uzima....

Mnataka jimbo la Chenge?😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom