Unategemea nini?
Nchi haina Uongozi.
Viongozi wote wanaogopana. Wote wanamaovu. ...
Hakuna wa kusimama na kukemea. Anaogopa watarudisha majibu!
SO?
Kila mtu ni kiongozi.
Polisi anasimama popote anaua!
Kila mtu ni mwana siasa...atafanya anachofanya..atafanywa nini? Kwani wao wamefanywa nini?
Kila mtu anaita vyombo vya habari ...anabwabwajika ..iwe hovyo au with sense. Kila mtu ni kiongozi...Tena ajiona wa kutukuka!!
Kila mtu ni kiongozi na kila mtu anaweza kuchukua sheria na kuitumia anvyotaka.Hakuna kkiogozi mwanye ujasiri wa Ukweli na haki..
Mkuu wa wilaya....Mwalimu mkuuu...Balozi....Kibaka....All is just hopelesss!!
Kwanini Chenge asifanye alivyofanya? Haswa Chenge? why not?
Ujeuri unaonyeshwa na wengine umefanyiwa nini? Kwani yeye hana jeuri? Kwani jeuri ya Kagoda imefanywa nini? Kwani jeuri ya mitambo ya umeme etc imefanywa nini?
Kwani yeye hana jeuri? Just shoot!!!!
Nchi imekuwa ya kuchezewa na kila mtu sasa!!!
Ni mpaka Viongozi watakapo ondoa DHIHAKA na USWAHIBA na kufanya kazi tuliyowapa ...ndipo tanzania itarudi kwenye mstari...vinginevyo....?...Unaweza kubunia!!!