Hii habari inazidi utata tu,mara alichomekewa mara sijui nini....Kwanza tunajuwa sheria zaetu za barabarabi ni keep left,sasa mtu aliyekuwa mbele yake alienda vipi upande wa kulia na wakati gari ya Chenge yenye we imepondeka upande wa kushoto?
Ama sheria za barabarani zimebadilika..Kama kuna mwenye kuweza kutueleza vizuri hapo ningeshukuru maana sijaielewa hii...Mtu akiwa mbele yako akijaribu kulipita gari jingine anakuwa upande wako wa kulia,na akirudi anakuwa mbele yako...Sasa what the heck is this kwamba yeye alimgonga ubavuni?
Halafu anasema gari ilikuwa inatokea morogoro store,means haikuwa kwenye lanes bali iikuwa inaingia barabarabi,sasa Bajaj ilikuwa inaikwepa ama ina overtake? Duh!