Chenge ataangushwa na hili: Chenge hawezi kabisa kujieleza kwa lugha yoyote na muonekano wake

Chenge ataangushwa na hili: Chenge hawezi kabisa kujieleza kwa lugha yoyote na muonekano wake

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Kwa siku nimemsikia Chenge ktk bunge la jamhuri na la Katiba.Nimeona kuwa pamoja na mambo mengine ni kwamba Chenge hawezi kabis ajieleza kwa lugha yoyote ya kitaifa.

Sijui kisukuma.Ila kiswahili hawezi,kiiingereza hawezi, pamoja na mawasiliano yake kimuonekano na maneno yake ni shida kabisa.

Huwa anakuwa kanuna huku akishindwa hata shawishi watu kucheka kwa yeye kuwachekesha kwa makusudi na si kumcheka. Pia chenge ana Dharau na majivuno yasiyo na mawasiliano na muonekano wake,haya yanamfunya asiwe good speaker, wala public figure.

KIbaya zaidi ni hiki Chenge hata muunganiko na flow ya mawazo inayoweza fikisha ujumbe kamili kwa hadhira. Sikuwahi fikiria sana kuwa na shida hivyo,ila nimejionea mwenyewe.

Na hili linanishawishi san akuamini kuwa huyu jamaa hata mikataba mibovu inahusiana sana madhaifu kama haya.
 
Yaan unataka anapoongea we ucheke,khaaa...km unataka kucheka si ujitekenye!
 
Umeeleza yote sawa lakini kwenye mikataba yenye ten percent acha kabisa huyo bwana anajieleza over MC wa Billicanas
 
Yule jamaa ni poyoyo kwenye mambo mengine lakini siyo kwenye pesa hata Mbowe ana nafuu.
 
Kwani wanatafuta MC wa Club Billicanas au M/kti wa Bunge la katiba anayeogozwa na KANUNI (Of course lazima awe mtu anayefahamu KUZITAFASIRI VIZURI KANUNI, which Chenge can do better). Yaani mtu aliyesomea Havard University one of the most PRESTIGIOUS university in the world awe hajui kuongea Kiingereza! Give us a break Dude! Kinachomuangusha Chenge si kingine bali ni UFISADI wake. Ingekuwa ni nchi za wenzetu ambao wako makini they guy was supposed to be behind bars in the first place and not in the CA!
 
Wewe mwenyewe unakingereza kibovu they guy cha wapi hicho? Chenge ni jasiri wa kuvaa sura isiyo na haya katika wizi.yeye pia anajijua
 
Ukiondoa kashfa yake ya visenti the guy is very smart and bright Kama unaubongo wa samaki kumuelewa Chenge ni kazi
Nadhani utakuwa muumini wa ujinga na ushnzi wa zitto. -Zitto anapoongea kitu kisichoeleweka wala kukielewa.hujificha kuwa anafanya siasa na hoja za kisayansi sanaka wa kiasi watanzania hawawezi muelewa.Halafu anataka kuwauzia huo upuuzi. -Na wewe unataka sema Chenge asiyeleweka kwa vile km zitto hajui anachoongoea basi vyeti na umaarufu umlinde na kuhamishia kutoeleweka kwa wanaomsikiliza. Km yumo makini na anajua anchokieleza basi angekuwa na njia zaidi ya moja kuelewesha watu.Ila kwa vile hajui nini anasema hata njia mbadala ya kuwakilisha kwa wamsikilizao
 
Umeeleza yote sawa lakini kwenye mikataba yenye ten percent acha kabisa huyo bwana anajieleza over MC wa Billicanas
Na lei nimelisikiliza ..halina kitu ni msukule wa mafisadi na miccm ili akiingia basi atumie nguvu,ubabe ba kiburi kuharibu mchakato wa katiba.
 
Ukiondoa kashfa yake ya visenti the guy is very smart and bright Kama unaubongo wa samaki kumuelewa Chenge ni kazi
Nadhani utakuwa muumini wa ujinga na ushnzi wa zitto. -Zitto anapoongea kitu kisichoeleweka wala kukielewa.hujificha kuwa anafanya siasa na hoja za kisayansi sanaka wa kiasi watanzania hawawezi muelewa.Halafu anataka kuwauzia huo upuuzi. -Na wewe unataka sema Chenge asiyeleweka kwa vile km zitto hajui anachoongoea basi vyeti na umaarufu umlinde na kuhamishia kutoeleweka kwa wanaomsikiliza. Km yumo makini na anajua anchokieleza basi angekuwa na njia zaidi ya moja kuelewesha watu.Ila kwa vile hajui nini anasema hata njia mbadala ya kuwakilisha kwa wamsikilizao
 
Usijaribu kuwa mahakama ya nchi za wenzetu. Chenge hajapelekwa mahakama yoyote iliyothibitisha ufisadi wake. Kisiasa Chenge anaweza akafikiriwa kuwa fisadi lakini katika macho ya mahakama Chenge hana hatia na ndiyo maana yuko nje.
Sijui kwa masikio na maoni ya mtoa mada, lakini mimi naona anajenga hoja kwa weledi mkubwa, anaelewa anachokisema, anaweza kueleza,na kutetea anachokisema. Kwa mtu aliyejiandaa kuelewa lazima ataelewa.lakini kama kuna mtu, kwa sababu zake binafsi hataki kuelewa au kwa kasoro za kimaumbile hawezi kumuelewa
Kwani wanatafuta MC wa Club Billicanas au M/kti wa Bunge la katiba anayeogozwa na KANUNI (Of course lazima awe mtu anayefahamu KUZITAFASIRI VIZURI KANUNI, which Chenge can do better). Yaani mtu aliyesomea Havard University one of the most PRESTIGIOUS university in the world awe hajui kuongea Kiingereza! Give us a break Dude! Kinachomuangusha Chenge si kingine bali ni UFISADI wake. Ingekuwa ni nchi za wenzetu ambao wako makini they guy was supposed to be behind bars in the first place and not in the CA!
 
Nadhani utakuwa muumini wa ujinga na ushnzi wa zitto. -Zitto anapoongea kitu kisichoeleweka wala kukielewa.hujificha kuwa anafanya siasa na hoja za kisayansi sanaka wa kiasi watanzania hawawezi muelewa.Halafu anataka kuwauzia huo upuuzi. -Na wewe unataka sema Chenge asiyeleweka kwa vile km zitto hajui anachoongoea basi vyeti na umaarufu umlinde na kuhamishia kutoeleweka kwa wanaomsikiliza. Km yumo makini na anajua anchokieleza basi angekuwa na njia zaidi ya moja kuelewesha watu.Ila kwa vile hajui nini anasema hata njia mbadala ya kuwakilisha kwa wamsikilizao
Nadhani bantulile atakuwa amekujibu vyema
BTW Zitto anaingiaje hapa?
Usijaribu kuwa mahakama ya nchi za wenzetu. Chenge hajapelekwa mahakama yoyote iliyothibitisha ufisadi wake. Kisiasa Chenge anaweza akafikiriwa kuwa fisadi lakini katika macho ya mahakama Chenge hana hatia na ndiyo maana yuko nje.
Sijui kwa masikio na maoni ya mtoa mada, lakini mimi naona anajenga hoja kwa weledi mkubwa, anaelewa anachokisema, anaweza kueleza,na kutetea anachokisema. Kwa mtu aliyejiandaa kuelewa lazima ataelewa.lakini kama kuna mtu, kwa sababu zake binafsi hataki kuelewa au kwa kasoro za kimaumbile hawezi kumuelewa
 
Last edited by a moderator:
Nadhani utakuwa muumini wa ujinga na ushnzi wa zitto. -Zitto anapoongea kitu kisichoeleweka wala kukielewa.hujificha kuwa anafanya siasa na hoja za kisayansi sanaka wa kiasi watanzania hawawezi muelewa.Halafu anataka kuwauzia huo upuuzi. -Na wewe unataka sema Chenge asiyeleweka kwa vile km zitto hajui anachoongoea basi vyeti na umaarufu umlinde na kuhamishia kutoeleweka kwa wanaomsikiliza. Km yumo makini na anajua anchokieleza basi angekuwa na njia zaidi ya moja kuelewesha watu.Ila kwa vile hajui nini anasema hata njia mbadala ya kuwakilisha kwa wamsikilizao

upuuzi wa kujadili watu kabla ya issue naona unaendelea
 
Inawezekana wewe pamoja na watanzania wengine ndiyo mnamatatizo ya kumuelewa huyu jamaa. Bahati mbaya ni mtu wa maneno machache to the point, huyu siyo mshehereshaji (MC) anayepamba lugha na vichekesho. Labda sababu ni kuwa level yake ipo juu sana, as it is Havard material. Kibaya kwake ni kutumia elimu na utaalamu wake kuliibia Taifa kupitia mikataba tata.
 
Inawezekana wewe pamoja na watanzania wengine ndiyo mnamatatizo ya kumuelewa huyu jamaa[\b]. Bahati mbaya ni mtu wa maneno machache to the point, huyu siyo mshehereshaji (MC) anayepamba lugha na vichekesho. Labda sababu ni kuwa level yake ipo juu sana, as it is Havard material. Kibaya kwake ni kutumia elimu na utaalamu wake kuliibia Taifa kupitia mikataba tata.
Ulitaka nani sasa walalamike kuwa jamaa haeleweki?zaidi ya sisi watanzania?km hakutaka watanzania waseme anapokuwa haeleweki si angeomba kura za wasio watanzania?Mwehu wewe..inaelekea wewe ni kimada wake
 
Usijaribu kuwa mahakama ya nchi za wenzetu. Chenge hajapelekwa mahakama yoyote iliyothibitisha ufisadi wake. Kisiasa Chenge anaweza akafikiriwa kuwa fisadi lakini katika macho ya mahakama Chenge hana hatia na ndiyo maana yuko nje. Sijui kwa masikio na maoni ya mtoa mada, lakini mimi naona anajenga hoja kwa weledi mkubwa, anaelewa anachokisema, anaweza kueleza,na kutetea anachokisema. Kwa mtu aliyejiandaa kuelewa lazima ataelewa.lakini kama kuna mtu, kwa sababu zake binafsi hataki kuelewa au kwa kasoro za kimaumbile hawezi kumuelewa
Nania ana muda na upuuzi wako....wewe.?Km hakuwajibika na kushiriki kuiambia serikali kuw amikataba ilikuwa mizuri na kupata visjisent alivyokiri kuwa nikidogo kulinganisha na wengine.Sijui unataka bishana na nani hapa.Nadhani huo ubishi wakijinga unawafaa sana CCM,mnaodhani kubisha na kutishia kunaweza ondoa kosa.
 
upuuzi wa kujadili watu kabla ya issue naona unaendelea
Mwehu sana wewe..kwani watu si ndio wanaozalisha issue...kima wewe..Thisi bogus of yours hakuweza hata soma mikataba,ndio alioishauri serikali kuw amikataba ilikuw bomba wakati hata JK kwa sheria yake ndogo alikiri kuwa ilikuwa na shida akaenda waomba wakubali irekebishwe..na huyu huyu Chenge akakiri kuwa na vijisenti tuu ukilinganisha na wengine ktk dili... Hili bogus mbali na kukosea pia hakuwa na ethics..alishirikia kabisa kudanganya taifa.Sasa utakata akanajisi Katiba....wewe kw aakili hii utakuwa unawalala dada zako
 
Nadhani bantulile atakuwa amekujibu vyema BTW Zitto anaingiaje hapa?
Sidhani km niliuliza swali anijibu....? Km mna nortion mbaya na iliyopinda kiasi hiki ni vipi utajua alichoandika kinahusiana vipi na ninachoandika. Kw aujumla chenge wenu ni zigo..km halikuweza tafsiri sheria na mikataba nchi ikauzwa..litaweza kutengeneza sheria mpya ktk Nchi ambazo halijawahi hata zisoma?Lilishindwa soma mikata mipya atawezaje KATIBA MPYA..?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom