Umeeleza yote sawa lakini kwenye mikataba yenye ten percent acha kabisa huyo bwana anajieleza over MC wa Billicanas
hahahahahahaha! Dah we jamaa umenichekesha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeeleza yote sawa lakini kwenye mikataba yenye ten percent acha kabisa huyo bwana anajieleza over MC wa Billicanas
Kwa akili kama zako ni dhahiri huwezi kumuelewa, miaka yote anayochaguliwa jimboni kwake unamsaidiaga wewe kujieleza? Kwanza hauna staha, vilevile mawazo yako yapo kwenye matusi na ngono tu.Ulitaka nani sasa walalamike kuwa jamaa haeleweki?zaidi ya sisi watanzania?km hakutaka watanzania waseme anapokuwa haeleweki si angeomba kura za wasio watanzania?Mwehu wewe..inaelekea wewe ni kimada wake
Kwa akili kama zako ni dhahiri huwezi kumuelewa, miaka yote anayochaguliwa jimboni kwake unamsaidiaga wewe kujieleza? Kwanza hauna staha, vilevile mawazo yako yapo kwenye matusi na ngono tu.
mwambie arudi tena...si alikuw akiatanguliza madezi km wewe wanopiga deme na kusifia kwa nguvu zote kwa watuw asio hata na radio..JK si msilifnanya hivyo wenye akili wlaipouliza mkaanza watukana kwua wana chuki binafsi,sijui udini,sijui na nini..sasa hivi watu wanaomba aondoke tuu.. mwambie arudie tena...halafu ndio uje ..ila sasa hivi ni umbe atuu unatuletea.Haya majinga yanawafaa nyie ndio maana mikoa yenu inazidi zama.Kwa akili kama zako ni dhahiri huwezi kumuelewa, miaka yote anayochaguliwa jimboni kwake unamsaidiaga wewe kujieleza? Kwanza hauna staha, vilevile mawazo yako yapo kwenye matusi na ngono tu.
Utaangaika sana..wachaga ni tishio lingine ktk maisha yako ,pamoja na kwamba wewe una vita nao ,wao hawana hata habari wala hawakujui..ila nyie watu duni..mnashindwa hadi vita ambayo hata adui yenu hajui,sijui angejua ingekuweje Sasa hivi nimekutana na mandezi wanapiga kelele wachaga hawajui mapenzi, kumuuuliza ameoa na mchumba wake ni wa wapi...haha....kasema kuna mwanamke wa kichaga anataka muoa ila ni mkorofi sana.Hakusema kuwa shida ni mapenzi,ila ni hela..kasema wife ni mkali sana na wafuja hela..Jamaa mwenye anaonekana ni mvivu sana. Mtaongea kinyume nyume hadi mkiri kwa vinywa vyenu kenge nyie....kila siku nawasikia mkipiga kelele ila mkioa mnaoa wachaga.Mkipangisha nyumba wachaga, mkiuza ardhi mnao wachaga,....mkilia mnao wachaga...mkifanikiwa mnao wachaga...nadhani hakuna sehemu ya maisha yenu mnaweza baki bila wachaga mkajisikia kuwa watu..zitto naye katoka CDM akipiga wachaga vita,sasa huko alipo anawataka wachaga tena....chenge bora ajieleze kwa kichaga tu, chenge ni mwizi kama wachaga
Ulitaka nani sasa walalamike kuwa jamaa haeleweki?zaidi ya sisi watanzania?km hakutaka watanzania waseme anapokuwa haeleweki si angeomba kura za wasio watanzania?Mwehu wewe..inaelekea wewe ni kimada wake
Mwehu wewe,unaingilia usichokijua kwa ujasiri km mwehu...niliyemjibu kasema kuwa na baadhi ya watanzania ndio hatumuelewi huyo jamaa ambaye ulimi umejaa mdomoni...muuza nchi aliyeshindwa tafsiri sheria alizozisomea miaka kibao. Sijui Chenge ataweza tafsiri sheria mpya km za zamzni alizozisomea miaka kibao alishindwa zitafsiri na kuishia uza nchi ktk mikataba mibovu.Katiba ya Chenge itakuwa wendawazimu.Usipende kujenerolaizi mambo mkuu Kama wewe una ubungo wa samaki humuelewi usitufanye wa Tz wote hatumuelewi
aliekwamba alikosea. Huyu jamaa ni kipaji balaa. Ana-degree kutoka Harvard UniversityKwa siku nimemsikia Chenge ktk bunge la jamhuri na la Katiba.Nimeona kuwa pamoja na mambo mengine ni kwamba Chenge hawezi kabis ajieleza kwa lugha yoyote ya kitaifa.
Sijui kisukuma.Ila kiswahili hawezi,kiiingereza hawezi, pamoja na mawasiliano yake kimuonekano na maneno yake ni shida kabisa.
Huwa anakuwa kanuna huku akishindwa hata shawishi watu kucheka kwa yeye kuwachekesha kwa makusudi na si kumcheka. Pia chenge ana Dharau na majivuno yasiyo na mawasiliano na muonekano wake,haya yanamfunya asiwe good speaker, wala public figure.
KIbaya zaidi ni hiki Chenge hata muunganiko na flow ya mawazo inayoweza fikisha ujumbe kamili kwa hadhira. Sikuwahi fikiria sana kuwa na shida hivyo,ila nimejionea mwenyewe.
Na hili linanishawishi san akuamini kuwa huyu jamaa hata mikataba mibovu inahusiana sana madhaifu kama haya.
-Haha..hizo Degree za kusaidia nchi masikini...hata vilaza walikwenda.....Havard huwajui nini..hakuna waliochoka na kuchemsha km yeye..... -Unless usems huyu jamaa alipa ugonjwa mbaya wa akili ukaharibu mpangilio wa kila kitu otherwise huyu jamaa alisoma zile degree za msaada wa marais wakristu w akiamrekani walizozitoa kusaidia fikra kwa africa,hata kama zilikuwa ni nchi za kijamaa na adui mkuwa wao.aliekwamba alikosea. Huyu jamaa ni kipaji balaa. Ana-degree kutoka Harvard University .
hata wewe umechangia....wenzio siwaoni tena..hili boya wenyewe wamelitolea nje..6 kawamaliza..na atajijenga vibaya kuja wabomoa ktk kinyang`anyiro cha uraisdah jamaa nicholas...unaushabiki wa ajabu sana, sijui chadema wamekutolea mahali...mpaka unaboa...kha.