Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
ulikua combania gani bro maana tulikua sote uko lile trip la pori unalikumbuka?Code name:OP Kikwete
Unit: 842 KJ
Chenja: Komando chanty
Ilikuwa ikipigwa iyo chenja najiona kama nipo havana, cuba katika mafunzo yangu ya mwisho kabisa ya u-field marshal.
Ningekumbuka mashairi yake ningeandika hapa ila mambo yashakuwa mengi tena,
Tawile makamanda!!
Sent using Jamii Forums mobile app
umemsahau mkoka kwa sisi tuliokuwa danger coy pia kuna ibra sauti mkwaruzo
Code name:OP Kikwete
Unit: 842 KJ
Chenja: Komando chanty
Ilikuwa ikipigwa iyo chenja najiona kama nipo havana, cuba katika mafunzo yangu ya mwisho kabisa ya u-field marshal.
Ningekumbuka mashairi yake ningeandika hapa ila mambo yashakuwa mengi tena,
Tawile makamanda!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JKT Maramba - Afande Ngajimara
Yale mawe vipi..[emoji445][emoji445]siwezi kusimamisha mnazi ee×2
Nitafumwa na afande mayasa[emoji445][emoji445][emoji445]
[emoji2][emoji2] sitaki kukumbuka yale maisha ya jkt Oljoro,Arusha mwaka 2015.
Miezi 3 kama miaka 3
821 kj
Miaka mingi imepita sasa !!!! Ila sitasahau mda wa chenja nilikua nalia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
yale mawe maafande walikuwa wanasema ndio miungu yao😂😂😂..na zile mbigiliYale mawe vipi..
Kule zizini kwa mzee lyaseko kama unaenda farming kutoka bwaloni juu pale ndo ililuwa chimbo langu nikidoji[emoji23][emoji23]
Mkoka alisha hama, yuko Mbweni now daysumemsahau mkoka kwa sisi tuliokuwa danger coy pia kuna ibra sauti mkwaruzo
Kama hukumbuki op yako beba dunia.
Hapo mkuu Kanuda hakuwahi kukupitia?821 kj
Miaka mingi imepita sasa !!!! Ila sitasahau mda wa chenja nilikua nalia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Poti kitu cha bulombora hio821kj mwisho wa reli hiyo.
afande Ambari-
Aahahahhahahaa nyakua nyakua ....hapo kurutu hurusiwi kutembeaAhaaaaaaa churaaaa anaruka bila boksaaaaaaa.....hii chenja hata Kama umedoji ukiisikia siku ya mkesha unarudi kwenye platooon fasta, vp mnakumbuka mwendo wa jini, nyakua nyakua na kwenda mzani kutafuta appetite unakimbua km 6 ili uje upate slice moja ya mkate na kuponi?
Nlishindwa kujitoa ufahamu Yale mateso yalizid aseeeTatizo ulikuwa unakumbuka sana kwenu ila jeshi ukijitoa ufaham raha sana
Hakuna aliyenipitia pot, nliwachukia Yale mateso niliwachukia vibaya mnoo mpaka kesho nawachukiaHapo mkuu Kanuda hakuwahi kukupitia?
]Kupata hakuna kudogo
C cOy tuliisoma OP mkwereHapo mkuu Kanuda hakuwahi kukupitia?
]Kupata hakuna kudogo