Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Ahaaaaaaa churaaaa anaruka bila boksaaaaaaa.....hii chenja hata Kama umedoji ukiisikia siku ya mkesha unarudi kwenye platooon fasta, vp mnakumbuka mwendo wa jini, nyakua nyakua na kwenda mzani kutafuta appetite unakimbua km 6 ili uje upate slice moja ya mkate na kuponi?