Cheo cha Brigadier Jeshini Kirudishwe

Cheo cha Brigadier Jeshini Kirudishwe

Kichuguu
Unatutega au ?
Kwa cheo ulichokuwa nacho jeshini najua wajua ila unatutega .
 
Hicho cheo cha Brigedia ni huko jeshini tu. Huku mtaani wote wanajita Majenerali as long as amefikia cheo cha ubrigadia.
 
Huu ndio muda sahih wa bongo yangu kwenda front dhidi ya PK
 
Hicho cheo cha Brigedia ni huko jeshini tu. Huku mtaani wote wanajita Majenerali as long as amefikia cheo cha ubrigadia.
Nipe jina la huyo anayejiita jenerali huko mtaani nimsemee kwa Mama. Nchi hii ina Jenerali mmoja tu aliyepo ktk utumishi bado
 
Mimi ninawaza imekuaje nchi yetu imekuwa na Majenerali na Makanali weeeengi tofauti na miaka ya 80 na 90. Nakumbuka nilipokuwa jkt oljoro sikuwahi kumuona kanali hadi namaliza mafunzo yangu na kwenda chuo kikuu.
Lakini leo vijana wetu wanapokwenda huko ukiongea nao utasikia baba leo tulitembelewa na wakubwa makanali, mara Brigedia . Haya huko barabarani unakutana na magari meeengi yana nyota idadi tofauti.
Haya kwenye sherehe za kitaifa unaona wajeshi weeeeeengi wenye vitambaa vyekundu kwenye kola, siku moja niliona wamekaa pamoja kwa harakaharaka idadi yao ilikuwa sio chini ya 150.
Nyerere hakutoa mavyeo mengi hivyo tena kipindi cha vita na Uganda, nawaza hivi ile vita ingekuwa ni miaka hii ya 2010... Si wangepewa hadi wafike 2000.

Taasisi yoyote yenye ufanisi na iliyo thabiti lazima hierarchy yake iwe imebana kisawasawa .
 
Mimi ninawaza imekuaje nchi yetu imekuwa na Majenerali na Makanali weeeengi tofauti na miaka ya 80 na 90. Nakumbuka nilipokuwa jkt oljoro sikuwahi kumuona kanali hadi namaliza mafunzo yangu na kwenda chuo kikuu.
Lakini leo vijana wetu wanapokwenda huko ukiongea nao utasikia baba leo tulitembelewa na wakubwa makanali, mara Brigedia . Haya huko barabarani unakutana na magari meeengi yana nyota idadi tofauti.
Haya kwenye sherehe za kitaifa unaona wajeshi weeeeeengi wenye vitambaa vyekundu kwenye kola, siku moja niliona wamekaa pamoja kwa harakaharaka idadi yao ilikuwa sio chini ya 150.
Nyerere hakutoa mavyeo mengi hivyo tena kipindi cha vita na Uganda, nawaza hivi ile vita ingekuwa ni miaka hii ya 2010... Si wangepewa hadi wafike 2000.

Taasisi yoyote yenye ufanisi na iliyo thabiti lazima hierarchy yake iwe imebana kisawasawa .

Moja ya sehemu ya mavazi yao ni ile kamba na fikiri ya silimbi. Vyeo kama mnyororo au kamba.
 
Nipe jina la huyo anayejiita jenerali huko mtaani nimsemee kwa Mama. Nchi hii ina Jenerali mmoja tu aliyepo ktk utumishi bado

Ni mahayati/ Marehemu kwa sasa. Ni moja ya fahari yao kujiita hivyo wakiwa waastafu baada ya kulitumikia Taifa kwa Uzalendo na Uaminifu mkubwa.
 
Ni mahayati/ Marehemu kwa sasa. Ni moja ya fahari yao kujiita hivyo wakiwa waastafu baada ya kulitumikia Taifa kwa Uzalendo na Uaminifu mkubwa.
Hii kauli ya kulitumikia taifa kwa uzalendo nadhani haistahili kwa miaka hii ya 90 - 2023 kwasababu watu wameingia jeshini hadi wanastaafu hakuna changamoto yoyote waliokumbana nayo. Wazalendo ni wale wa 1980s kipindi cha kumsaidia Samora Macheli dhidi ya Renamo na wale makamanda wa kipindi cha vita vya Kagera 1970s.
Kwa hiyo hili neno Uzalendo lisitumike ilimradi tu
 
Tanzania ilibadilisha cheo cha Brigadier kutoka Senior officer na kuwa General Officer na hivyo kuweka pengo kubwa sana kati ya senior officers na general officers.

Kwa mfano unaposikia Major General basi kunakuwa na officer anayeitwa Major, Ukisikia Lt General ina maana kuna officer anayeitwa Lt. Nchi nyingine zina Captain General kutokana cheo cha Capatin. Sasa Brigadier general ilitakiwa itokenane na cheo cha Brigadier ambacho Tanzania sasa hakipo. Ningeomba cheo hiki kirudishwe,

Ni maoni yangu tu hayo, na nimewahi kulitumikia JWTZ kwa ngazi ya chini sana; cheo changu cha mwisho kilikuwa LCPL. Tujenge jeshi letu.

Sawa Koplo, tumekusikia!!
 
Hii kauli ya kulitumikia taifa kwa uzalendo nadhani haistahili kwa miaka hii ya 90 - 2023 kwasababu watu wameingia jeshini hadi wanastaafu hakuna changamoto yoyote waliokumbana nayo. Wazalendo ni wale wa 1980s kipindi cha kumsaidia Samora Macheli dhidi ya Renamo na wale makamanda wa kipindi cha vita vya Kagera 1970s.
Kwa hiyo hili neno Uzalendo lisitumike ilimradi tu

Huwezi amini Wazalendo wako Msumbiji hadi leo. Congo, Darfur nk. Karibuni wataanza kuwalinda Dp World watuendeshee bandari kama wanavyo walinda kule Loliondo kutusaidia kuendesha utalii.. Mambo ni mengi.
 
Huwezi amini Wazalendo wako Msumbiji hadi leo. Congo, Darfur nk. Karibuni wataanza kuwalinda Dp World watuendeshee bandari kama wanavyo walinda kule Loliondo kutusaidia kuendesha utalii.. Mambo ni mengi.
Kwanini unasema ni wazalendo hawa waliopo Dafur na Congo, Msumbiji.
 
Ilkuaje adi una staafu bado una fyeka na kufagia kambini
 
Mimi ninawaza imekuaje nchi yetu imekuwa na Majenerali na Makanali weeeengi tofauti na miaka ya 80 na 90. Nakumbuka nilipokuwa jkt oljoro sikuwahi kumuona kanali hadi namaliza mafunzo yangu na kwenda chuo kikuu.
Lakini leo vijana wetu wanapokwenda huko ukiongea nao utasikia baba leo tulitembelewa na wakubwa makanali, mara Brigedia . Haya huko barabarani unakutana na magari meeengi yana nyota idadi tofauti.
Haya kwenye sherehe za kitaifa unaona wajeshi weeeeeengi wenye vitambaa vyekundu kwenye kola, siku moja niliona wamekaa pamoja kwa harakaharaka idadi yao ilikuwa sio chini ya 150.
Nyerere hakutoa mavyeo mengi hivyo tena kipindi cha vita na Uganda, nawaza hivi ile vita ingekuwa ni miaka hii ya 2010... Si wangepewa hadi wafike 2000.

Taasisi yoyote yenye ufanisi na iliyo thabiti lazima hierarchy yake iwe imebana kisawasawa .
Yaani umesema yoote ....anzia Major kwenda juu Yaani wengi mnoo mnoo ....nilienda jkt mlalakuwa sikuamini kuna major kama 30 hivi pale tu .....just a siku hizi Brogadier wanapandishwa 21 kwa mpigo.....Canal usiseme wako kibao nadhani jeshi limekua tofauti Enzi zile ......wasipoangalia wapiganaji watakuwa hakuna wote officers.....
 
Yaani umesema yoote ....anzia Major kwenda juu Yaani wengi mnoo mnoo ....nilienda jkt mlalakuwa sikuamini kuna major kama 30 hivi pale tu .....just a siku hizi Brogadier wanapandishwa 21 kwa mpigo.....Canal usiseme wako kibao nadhani jeshi limekua tofauti Enzi zile ......wasipoangalia wapiganaji watakuwa hakuna wote officers.....

Ccm kuna vyeo vinazidi waziri yani maulidi kitenge kuwa ccm anauwezo kuwa na nguvu kuliko waziri wa masoko ya nje
 
Back
Top Bottom