Cheo cha 'Naibu Rais' chaendelea kuwatesa Wakenya. Inasemekana Rais Ruto hapatani na Naibu wake

Cheo cha 'Naibu Rais' chaendelea kuwatesa Wakenya. Inasemekana Rais Ruto hapatani na Naibu wake

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==
 
Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==

Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==

This is Africa
 
Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==

Masela wa chadema sii wa kusikilizwa kabisa,wataharibu nchi
 
Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==

Bila kuwataja CHADEMA uzi huu unakosa wachangiaji
 
Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==

actually,
Ruto alimchagua RigyG sio kwa kupenda au kwamba alifaa zaidi ya wengine. Chaguo lake alikua Prof. Kithuri Kindinki ambae ni interior Minister saivi...

Alimteua RigyG kwasabb za kisiasa tu mathalani amtumie ili atimize ndoto zake za kua Rais, kuwin the support of mount kenya ambayo ina wapiga kura wengi sana, lakin pia ili kudeal na Uhuru Kenyatta, kwakua ndie alikua personal assistant wa Uhuru na hivyo ndie mtu aliaminika sana kenya , aliposema mabaya ya uhuru Kenyatta, kwasabb RegyG ana sifa ya kusema ukweli 🐒

RigyG is now fighting back na kadiri hali ilivyo anaweza kuachia ngazi kwa hiyari yake ajipange kugombea 2027, au kua impeached kwa makosa ya kikatiba ambayo anaweza kuyatenda kwa ghadhab 🐒

Hata hivyo,
RigyG alipokubali mpango wa Ruto wa gender equality kuanzia executive, hiyo ilikua ni ishara ya kwamba kwenye uchaguzi mkuu 2027 hatakua mgombea mwenza tena ispokua mwanamke, na inasemekani ni Anne Waiguru, governor wa kirinyaga county kwasasa, ambae pia, ndio chairman wa council of Governors Kenya 🐒

RigyG hataki kuskia hiyo kitu.
Na mbaya zaidi Rais Ruto ameonyesha nia ya kumuachia kiti ya urasi Musalia Mudavadi, Prime Cabinet Minister ambae hivi karibuni anakusudia kumarge au kuvunja chama chake cha ANC na kukiunganisha ndani ya UDA kuelekea kufanikisha mpango huo 🐒
 
Uwepo wa Cheo Cha Naibu Rais(Deputy President) na sio Makamu Rais (Vice president) kimeendelea kuwa Kaa la moto kwenye Uongozi wa Nchi ya Kenya Kwa kuzuia mizozo ya mara Kwa mara.

Huko Kenya Cheo hicho ni kina sehemu ya Madaraka ya kiutendaji tofauti na Tanzania Hali ambayo imekuwa inachangia mizozo ya mara Kwa mara.

Wakati wa Uhuru Kenyatta, William Ruto aliyekuwa Naibu Rais alikuwa akilalamika kwamba mamlaka yake yameporwa na anatendewa isivyo heshima.

Sasa hivi Ruto ni Rais ila wamekuwa kwenye mivutano baridi na Naibu Rais wake huko wapambe wakiendelea kuchochea moto.

Ikumbukwe Ruto alilazimika kuunda Cheo Cha Waziri Mkuu kinyemela Ili tuu awese kupata mtu wa kumtuma Kwa uhuru zaidi tofauti na Naibu Wake ambae inakuwa kama mshindani wake na mviziaji wa Cheo Cha Urais.

View: https://www.instagram.com/p/C7Lio_Uh9zw/?igsh=MWRkOGVtMnh3enp6cg==

My Take
Hizi ndio Nchi Machadema Huwa wanataka tupige mifano yake 😁😁😁😁

Tanzania ni Moja ya Nchi Zenye Katiba Bora sana Afrika isipokuwa Machadema Wameshindwa Ushawishi huko Kwa Wananchi wanasingizia na kupotosha.

View: https://www.instagram.com/p/C7LlWKwxit8/?igsh=MXJsdXI0NDFldGZpZA==

Usijiondoe ufahamu mkuu, unaweza kutuambia nini kilfanya Rais Samia mchelewe kumuapisha baada ya kifo cha JPM kinyume na katiba eti mmesahau katiba au Chadema ndio ilikuwa kikwazo?
Kutunga katiba na kuisimamia ni changamoto ya Afrika haswa ukanda huu wa Afrika mashariki ukiiondoa Kenya, pamoja na mapungufu yao hatujawafikia kwenye demokrasia mpaka uchumi.
 
Usijiondoe ufahamu mkuu, unaweza kutuambia nini kilfanya Rais Samia mchelewe kumuapisha baada ya kifo cha JPM kinyume na katiba eti mmesahau katiba au Chadema ndio ilikuwa kikwazo?
Kutunga katiba na kuisimamia ni changamoto ya Afrika haswa ukanda huu wa Afrika mashariki ukiiondoa Kenya, pamoja na mapungufu yao hatujawafikia kwenye demokrasia mpaka uchumi.
Hii inahusikaje na mada? Sukuma gang ndio walitaka kupindisha Katiba
 
Back
Top Bottom