Cheo cha 'Naibu Rais' chaendelea kuwatesa Wakenya. Inasemekana Rais Ruto hapatani na Naibu wake

..hata Magufuli na Samia walikuwa hawaivi.

..Na hali hiyo ndio ilipelekea VP Samia asishirikishwe wakati wa kumuuguza Magufuli.
Labda kama walikuwa hawaivi kimitazamo lakini cheo Cha VP Tanznaia ni teethless na hakina maana tofauti na huko Kwa jirani
 
Role models wa CHADEMA karibu wote huwa ni hovyo. Kuna role model wao mwingine Hichilema wa Zambia ambaye tayari kashaonyesha kufeli kabisa.
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kuna uafadhari sana

hakuna siajabu hata ni mbaya zaidi, tofauti ya kenya na tanzagiza ni freedom of the press, kenya media wanaweza kuandika chochote kumhusu raisi wao kama walivyofanya sasa hivi na hakuna kitakachowapata, tanzagiza gazeti liliandika tu polls kuhusu uchumi chini ya maraisi waliopita kesho yake wakaomba msamaha ndiyo waandike kumhusu raisi na makandokando yake na waachwe salama?
 
Mwendo wa ruto na huyo makamu wake lazima wangegombana. Huyo makamu anafanya mambo utafikiri yeye ndio rais kwani anajiona mkikuyu kabila kubwa na lenye nguvu kuliko yote kenya hivyo ruto ndio afuate anachosema yeye. Naweza sema ni mtu arrogant na mwenye tabia ya ubabe na labda dharau.
 
Pengine hoja yako ingekuwa na mashiko zaidi iwapo usingewaingiza CHADEMA.
 
Tanzania Makamu Wa Rais Ana Nguvu Yoyote Kwenye Maamuzi
 
Unafanya upotoshaji, hata cheo cha naibu Rais wa Kenya sio cha utendaji ni kama vile tu makamu wa hapa tofauti ni kwamba Kenya Naibu wa Rais hawezi kuondolewa kwa njia yoyote ile na Rais au chama chake.
Point ni urafiki wa mashaka,kati ya President na deputy President.
Kama waliungana kimaslahi yenye hidden agenda basi italeta mtafaruko.
Ila kama ni uchonganishi tokea kwa watu wasioitakia mafanikio serikali ya Rutto,basi watashindwa vibaya sana.
 

View: https://www.instagram.com/p/DAKwP6FCQc2/?igsh=MTNjeml5NmU0ZGhzcg==
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…