Cheo ni dhamana - Viongozi lindeni heshima ya future yenu

Cheo ni dhamana - Viongozi lindeni heshima ya future yenu

Pongezi kwa wateule wote,
mara baada ya kiapo wanapaswa wachape kazi kwa speed na weledi.
Watanzania wengi tunapenda kuona Watendaji wanafuatilia miradi ya serikali kwa karibu.
hatupendi kuona viongozi wanakaa ofisini tu.
Mfano, Prof: Mbarawa ni mfuatiliaji mzuri ila sio mkali hivyo ili afanikiwe ni lazima awe mkali pale inapo bidi.
Makamba ni mfuatiliaji mzuri ila apunguze ushikaji kazini apige kazi, nishati ni nguzo ya uchumi wa Taifa.
Kijaji ni mpambanaji mzuri sana pia ni mkali hapendi masihara awapo kazini.
Mama Tax ni mweledi tunategemea maboresho mazuri zaidi.
 
Kamwe usikitumie cheo chako kuwaonea walio chini yako

Kamwe usitumie cheo chako kuwaumiza walio chini yako

kamwe usitumie cheo chako kuwaharibia wezako kazi

Tutumie vyeo vyetu vizuri, tusiwaumize wengine, tusiwe na roho za kinyama/kishetani, maana kuna baadhi ya viongozi walio pewa madaraka ni hatari kuliko hata wanyama.

Kazi iendelee

tuendelee kujenga nchi yetu kwa nguvu zetu zote na maarifa yetu yote
Pongezi kwa wateuli wote haswa Mama Tax kwa kuaminiwa ktk wizara nyeti kabisa.
Mama Tax ni Mfano mzuri sana wa kuigwa na viongozi/mawaziri wengine, ni kiongozi ambaye unaweza muweka ktk nafasi yoyote na akafiti.
Mkuu, naona umeongea kimafumbofumbo?
Ila kuna jamaa walibebwabebwa sana! Sijui itakuwaje?
Hivi ni rahisi kurudisha humbleness iliyopotezwa kwa sababu ya godfather?
 
Prof. Mbarawa tunakuomba acha upole, kuwa mkali.
tunakufahamu wewe ni mfuatiliaji mzuri sana ila tatizo una kaupole, wapigaji na wabadhirifu huwa wanapenda sana kusimamiwa na mtu mpole ili wapate namna ya kupiga vizuri.
hivyo tunakuomba ongeza ukali ili miradi isonge kwa kasi.
 
Umepata bahati ya kuteuliwa na Mhe. Rais ktk nafasi yoyote ile kwa nini tena uote mapembe badala ya kuwatumikia wananchi.?
mimi ningepata nafasi ya kuteuliwa na Rais ktk nafasi yoyote ile ningetumika bila kuchoka.
 
Prof. Mbarawa tunakuomba acha upole, kuwa mkali.
tunakufahamu wewe ni mfuatiliaji mzuri sana ila tatizo una kaupole, wapigaji na wabadhirifu huwa wanapenda sana kusimamiwa na mtu mpole ili wapate namna ya kupiga vizuri.
hivyo tunakuomba ongeza ukali ili miradi isonge kwa kasi.
Congratulations Mr. Mbarawa. Sincerely!! Welcome back again! You sincerely fit to the post. I do remember your visits in Kigoma. Welcome again.
 
Heri ya mwaka mpya na mambo mapya wakuu?

Naimani kwa uwezo wake Mungu tuliobahatika kuupokea tumeupokea na wenzetu walioupokea wakiwa vitandani tuwaombee kwa Mungu awafanyie unafuu warejee katika khali zao.

Na waliotangulia mbele za haki ya bila kuuona mwaka mpya tuwaombee wapumzike wanapostahili.

Niwakumbushe tu kama kichwa cha habari kinavyosema cheo ni dhamana tukitumie vzr na tuishi na watu vzr na tuwaheshimu wale tunaowaongoza maana bila wao tusingelipewa vyeo tulivyonavyo , cheo isiwezi sehemu ya kumchapia mwenzio bali iwe sehemu yakuelekeza kwa hekima na busara .

Niwatakie Kheri Ya Mwaka Mpya Na Mambo Mapya.
 
Uongozi siyo Ubabe: Ndugai alimpiga mwenzie bakora, Jafo alimkemea Injinia hadi akazirai, Ngeleja naye alimtesa mlinzi but Leo wako wapi?

Ninachotaka kusisitiza hapa ni kwamba Cheo ni dhamana

Usitumie Cheo chako kama silaha ya kutweza UTU wa watu wengine

J4 Mungu akubariki!
 
Ninachotaka kusisitiza hapa ni kwamba Cheo ni dhamana

Usitumie Cheo chako kama silaha ya kutweza UTU wa watu wengine

J4 Mungu akubariki!
Magufuli aliwatesa wengi, aliwaua wengi, aliwapoteza wengi, aliwadhulumu wengi, naomba naye umuweke kwenye list. Usiwe na selective "prosectution"
J4 njema Mungu wa Mbinguni (siyo wa dunia kama magufuli) akubariki kwa thread nzuri.
 
Samia nae yatamkuta tu kwa jinsi anavyowafanyia Watanzania.
 
Huo usemi uliishia kwa Hayati Nyerere,hauko tena,na sa hivi cheo si dhamana tena.
Rais Samia Suluhu bado anautumia anakwambia yeye ni mtumishi wako anafanya kile unapenda wewe mtanzania na si vinginevyo kwasababu wewe ndio boss wake (muajiri)
 
Back
Top Bottom