Pongezi kwa wateule wote,
mara baada ya kiapo wanapaswa wachape kazi kwa speed na weledi.
Watanzania wengi tunapenda kuona Watendaji wanafuatilia miradi ya serikali kwa karibu.
hatupendi kuona viongozi wanakaa ofisini tu.
Mfano, Prof: Mbarawa ni mfuatiliaji mzuri ila sio mkali hivyo ili afanikiwe ni lazima awe mkali pale inapo bidi.
Makamba ni mfuatiliaji mzuri ila apunguze ushikaji kazini apige kazi, nishati ni nguzo ya uchumi wa Taifa.
Kijaji ni mpambanaji mzuri sana pia ni mkali hapendi masihara awapo kazini.
Mama Tax ni mweledi tunategemea maboresho mazuri zaidi.
mara baada ya kiapo wanapaswa wachape kazi kwa speed na weledi.
Watanzania wengi tunapenda kuona Watendaji wanafuatilia miradi ya serikali kwa karibu.
hatupendi kuona viongozi wanakaa ofisini tu.
Mfano, Prof: Mbarawa ni mfuatiliaji mzuri ila sio mkali hivyo ili afanikiwe ni lazima awe mkali pale inapo bidi.
Makamba ni mfuatiliaji mzuri ila apunguze ushikaji kazini apige kazi, nishati ni nguzo ya uchumi wa Taifa.
Kijaji ni mpambanaji mzuri sana pia ni mkali hapendi masihara awapo kazini.
Mama Tax ni mweledi tunategemea maboresho mazuri zaidi.