unadhani ni rahisi kama ulivyoandika hapa mkuu!!!!Sio kweli.
ukifanya hivyo ni ujinga.
tumia taaluma yako vizuri, kama huwezi acha au utumbuliwe.
Mkuu, naona umeongea kimafumbofumbo?Kamwe usikitumie cheo chako kuwaonea walio chini yako
Kamwe usitumie cheo chako kuwaumiza walio chini yako
kamwe usitumie cheo chako kuwaharibia wezako kazi
Tutumie vyeo vyetu vizuri, tusiwaumize wengine, tusiwe na roho za kinyama/kishetani, maana kuna baadhi ya viongozi walio pewa madaraka ni hatari kuliko hata wanyama.
Kazi iendelee
tuendelee kujenga nchi yetu kwa nguvu zetu zote na maarifa yetu yote
Pongezi kwa wateuli wote haswa Mama Tax kwa kuaminiwa ktk wizara nyeti kabisa.
Mama Tax ni Mfano mzuri sana wa kuigwa na viongozi/mawaziri wengine, ni kiongozi ambaye unaweza muweka ktk nafasi yoyote na akafiti.
Congratulations Mr. Mbarawa. Sincerely!! Welcome back again! You sincerely fit to the post. I do remember your visits in Kigoma. Welcome again.Prof. Mbarawa tunakuomba acha upole, kuwa mkali.
tunakufahamu wewe ni mfuatiliaji mzuri sana ila tatizo una kaupole, wapigaji na wabadhirifu huwa wanapenda sana kusimamiwa na mtu mpole ili wapate namna ya kupiga vizuri.
hivyo tunakuomba ongeza ukali ili miradi isonge kwa kasi.
Magufuli aliwatesa wengi, aliwaua wengi, aliwapoteza wengi, aliwadhulumu wengi, naomba naye umuweke kwenye list. Usiwe na selective "prosectution"Ninachotaka kusisitiza hapa ni kwamba Cheo ni dhamana
Usitumie Cheo chako kama silaha ya kutweza UTU wa watu wengine
J4 Mungu akubariki!
Rais Samia Suluhu bado anautumia anakwambia yeye ni mtumishi wako anafanya kile unapenda wewe mtanzania na si vinginevyo kwasababu wewe ndio boss wake (muajiri)Huo usemi uliishia kwa Hayati Nyerere,hauko tena,na sa hivi cheo si dhamana tena.