Chepuka kwa akili...

Hahahaha....we muandika uzi ujue unatafuta watu maneno acha niendelee kukufikiria
 
Nakupa 100%kwenye bandiko lako na sitaki swali[emoji120] [emoji120]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
kwa kweli mwanamke ni vigumu sana kuchepuka, haswa akiwa kwenye ndoa yake
 
Ninachojua mimi mke wangu/mpenzi yupo fisi mmoja huko simjui Anamega sema ndio sijamjua so sitakagi jipa presha za kushika simu ya mpenzi/mke wangu hata siku 1,nikipiga nikakuta upo busy hata lisaa lizima ntakausha zangu kama ni usiku ntalala ntakutafuta kesho.

Kuchepuka MUHIMU usinidanganye mimi huchepuki yani tuko wote huu mwaka wa 45 wewe unaniona mimi tu? ntolee uongo wako...ina mana hujawahi ona mwanaume ukamtamani huko? bwana wee Bibie evelyn Wambie tena tena wasisitize wachepuke kwa AKILI.

Hata mimi sipendi kumegewa ila kama ana megwa na sijui Presha mimi yanini? mi sawa na leo Siumwi malaria,siumwi typhod,siumwi kichwa,sina kipele,nina afya teleee Nadunda sikohoi hata kwa bahati mbaya huu mwaka wa 8 sasa hata chafya sipigi..Alafu eti nafungasha naenda hospital kupima UKIMWI. ntakua chizi sasa.

Mamiee Evelyn Salt wambie tena kwamba na mimi nimesema kwamba watumie AKILI sio wanajipeleka wazima wazima mpaka mtu unajua...(nikijua nakutoa roho)

Kama jinsi ninavyoumiza kichwa usijue please na wewe hakikisha unaumiza kichwa nisijue..Tuishi kwa amani please...na muwe mnazingatia afya za hao mnao toka nao..tunarudi kule kule AKILI IFANYE KAZI.
 
Kuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
Nakujua unanigongea demu wangu halafu napiga story na wewe? Labda wao ila mimi siwezi! sijawa na roho nzuri kiasi hicho yani kabisa naongea na wewe halafu najua nilipogusisha chululuu yangu na wewe unagusisha..never siwezi

Sitokua adui na wewe na pia sitokua rafiki na wewe...mle ila nisijue yani mkule kimya kimya Nikijua TU ndio mwisho wa mawasiliano yetu.
 
Umeongea ukweli mtupu. Waambie hao madogo wasioijua ndoa, eti Ooh bibi zetu hapo zamani za kale walikuwa hawachepuki thubutuuu, walikuwa wanatumia akili na mababu walikuwa wanasuluhisha kwa hekima wakikumbuka 'kuchapiwa ni siri ya ndani ".
Na hata sasa wanawake wanachepuka kwa akili ndo maana watu wanalea watoto wasio wao kwenye ndoa... Anayechepuka waziwazi ujue amemchoka mme wake au ndo wale vichwa box
 
kuchepuka kupo tangu na tangu..Akili tu ndio inatumika...Tukianza ongelea UAMINIFU hamna mwenye huo moyo mana hata kuangalia tu kwa kutamani ni kosa so wakubali tu kua Akili inahitajika eneo hili...

Watu wanalea watoto sio wao chungu mzima alafu unasema hamna kuchepuka..Sazingine mtu unachepuka kwa Faida ya mume/mke wako..sio chepuka zote ni tamaa ila kuna mi vichwa BOX ikipata mchepuko linajiingiza zima zima linamsahau hadi mke/mume wake mpk linastukiwa.
 
Akili zetu "ZIMEOANA" πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
πŸ˜†πŸ˜†Nimelipenda hilo angalizo....na yale maneno ya kwenye mabano hapo mwishoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…