Umeadimika boss kubwa
Nipo wewe ndio huonekani... tupange basi Flomi au Samaki Samaki moro tufyonze maji... Jumamosi nitakua safari to dodoma
Nakupa 100%kwenye bandiko lako na sitaki swali[emoji120] [emoji120]Good morning.....
Angalizo: soma bila jazba inaweza kukukera, ukimaliza mcheki mkeo msonye kupunguza hasira.
Wataalamu wa mambo ya mahusiano wanasema mapenzi kwa mwanaume ni moja kati ya vitu, ila kwa mwanamke mapenzi ni kila kitu, yani kwa mwanamke mapenzi ni maisha. Ndio maana mwanamke unaweza kumkera basi asikupikie, asifanye chochote yani hapo kila kitu kipo connected na hayo mapenzi tofauti na mwanaume. Mwanaume unaweza kuwa na wanawake kadhaa na wanajuana na maisha yanaendelea ila kitendo cha kujua mwanamke wako kuna mtu anasimamia kucha ni pigo sana na usipokua imara unaweza rudi kwa muumba kizembe kizembe.
Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma, iwe analiwa mwanaume au analiwa mwanamke inauma, japo wanaume mnajitoaga tu ufahamu mnajikuta mliumbwa na kibali cha kupiga yani nyie mpige tu mkipigiwa inakupa tabu. Cha ajabu ukute umeoa kabisa unajua uchungu wa mke na unaenda kupiga wake za wenzio tena unawapenda ndio mambo yako yani ila eti wako hautaki aguswe hihihihi nacheka kisukuma brother hebu kuwa serious kidogo!!!
Mwanaume anachepuka kwa tamaa tu yani kifupi hana madhara kiiivo tukiachana na wivu wivu tu hana madhara makubwa, labda kuchunwa chunwa tu na vitu vya hapa na pale, ila sasa tukija kwetu viumbe wa kike watu ambao mioyo yetu inashape ya kopa, kopa ndio na mioyo wanaume ina shape ya korosho (tusibishane katika hili [emoji16]) mwanamke kuchepuka ni hatari kuchepuka sio tu tamaa kuchepuka ni mapenzi tena mapenzi mazito, mahaba ya dhati kabisa, we don't offer mabao tu bali tunajitoa sana hadi hisia tunaweka rehani, yani kuchepuka ni kufall in love kabisa unampa mtu moyo na hisia (micheps msizingue jamani mtatuua) na hapa ndiyo hatari ilipo mwanamke usipohusisha akili nyumba itasambaratika, utaanza kama masihara tu mara unajikuta mme unamuona kama zombie huko kwenye ateri na aota kajaa mchepuko, mchepuke kwa makini na kwa akili jamani
Evelyn Salt (fisi jike)
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mume na mke walikaa sebuleni wanaangalia muvi,ghafla simu ya mke ikaita ujumbe ,kufungua anakuta msg kutoka kwa mchepuko wake "kuanzia Leo mi na wewe basi!!"
Mke michozi ikaanza kummwagika.mume anashangaa kulikoni,kuna msiba?
Mke:hapana Mme wangu,ni shangazi ananfundisha kupika pilau
Mume:asa ndo unatoka machozi
Mke: tupo hatua ya kukatakata vitunguu!!
Chezea kibuti!!
kwa kweli mwanamke ni vigumu sana kuchepuka, haswa akiwa kwenye ndoa yakeGood morning.....
Angalizo: soma bila jazba inaweza kukukera, ukimaliza mcheki mkeo msonye kupunguza hasira.
Wataalamu wa mambo ya mahusiano wanasema mapenzi kwa mwanaume ni moja kati ya vitu, ila kwa mwanamke mapenzi ni kila kitu, yani kwa mwanamke mapenzi ni maisha. Ndio maana mwanamke unaweza kumkera basi asikupikie, asifanye chochote yani hapo kila kitu kipo connected na hayo mapenzi tofauti na mwanaume. Mwanaume unaweza kuwa na wanawake kadhaa na wanajuana na maisha yanaendelea ila kitendo cha kujua mwanamke wako kuna mtu anasimamia kucha ni pigo sana na usipokua imara unaweza rudi kwa muumba kizembe kizembe.
Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma, iwe analiwa mwanaume au analiwa mwanamke inauma, japo wanaume mnajitoaga tu ufahamu mnajikuta mliumbwa na kibali cha kupiga yani nyie mpige tu mkipigiwa inakupa tabu. Cha ajabu ukute umeoa kabisa unajua uchungu wa mke na unaenda kupiga wake za wenzio tena unawapenda ndio mambo yako yani ila eti wako hautaki aguswe hihihihi nacheka kisukuma brother hebu kuwa serious kidogo!!!
Mwanaume anachepuka kwa tamaa tu yani kifupi hana madhara kiiivo tukiachana na wivu wivu tu hana madhara makubwa, labda kuchunwa chunwa tu na vitu vya hapa na pale, ila sasa tukija kwetu viumbe wa kike watu ambao mioyo yetu inashape ya kopa, kopa ndio na mioyo wanaume ina shape ya korosho (tusibishane katika hili π) mwanamke kuchepuka ni hatari kuchepuka sio tu tamaa kuchepuka ni mapenzi tena mapenzi mazito, mahaba ya dhati kabisa, we don't offer mabao tu bali tunajitoa sana hadi hisia tunaweka rehani, yani kuchepuka ni kufall in love kabisa unampa mtu moyo na hisia (micheps msizingue jamani mtatuua) na hapa ndiyo hatari ilipo mwanamke usipohusisha akili nyumba itasambaratika, utaanza kama masihara tu mara unajikuta mme unamuona kama zombie huko kwenye ateri na aota kajaa mchepuko, mchepuke kwa makini na kwa akili jamani
Evelyn Salt (fisi jike)
Nakujua unanigongea demu wangu halafu napiga story na wewe? Labda wao ila mimi siwezi! sijawa na roho nzuri kiasi hicho yani kabisa naongea na wewe halafu najua nilipogusisha chululuu yangu na wewe unagusisha..never siweziKuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
tema mate chinikwa kweli mwanamke ni vigumu sana kuchepuka, haswa akiwa kwenye ndoa yake
Umeongea ukweli mtupu. Waambie hao madogo wasioijua ndoa, eti Ooh bibi zetu hapo zamani za kale walikuwa hawachepuki thubutuuu, walikuwa wanatumia akili na mababu walikuwa wanasuluhisha kwa hekima wakikumbuka 'kuchapiwa ni siri ya ndani ".Ninachojua mimi mke wangu/mpenzi yupo fisi mmoja huko simjui Anamega sema ndio sijamjua so sitakagi jipa presha za kushika simu ya mpenzi/mke wangu hata siku 1,nikipiga nikakuta upo busy hata lisaa lizima ntakausha zangu kama ni usiku ntalala ntakutafuta kesho.
Kuchepuka MUHIMU usinidanganye mimi huchepuki yani tuko wote huu mwaka wa 45 wewe unaniona mimi tu? ntolee uongo wako...ina mana hujawahi ona mwanaume ukamtamani huko? bwana wee Bibie evelyn Wambie tena tena wasisitize wachepuke kwa AKILI.
Hata mimi sipendi kumegewa ila kama ana megwa na sijui Presha mimi yanini? mi sawa na leo Siumwi malaria,siumwi typhod,siumwi kichwa,sina kipele,nina afya teleee Nadunda sikohoi hata kwa bahati mbaya huu mwaka wa 8 sasa hata chafya sipigi..Alafu eti nafungasha naenda hospital kupima UKIMWI. ntakua chizi sasa.
Mamiee Evelyn Salt wambie tena kwamba na mimi nimesema kwamba watumie AKILI sio wanajipeleka wazima wazima mpaka mtu unajua...(nikijua nakutoa roho)
Kama jinsi ninavyoumiza kichwa usijue please na wewe hakikisha unaumiza kichwa nisijue..Tuishi kwa amani please...na muwe mnazingatia afya za hao mnao toka nao..tunarudi kule kule AKILI IFANYE KAZI.
kuchepuka kupo tangu na tangu..Akili tu ndio inatumika...Tukianza ongelea UAMINIFU hamna mwenye huo moyo mana hata kuangalia tu kwa kutamani ni kosa so wakubali tu kua Akili inahitajika eneo hili...Umeongea ukweli mtupu. Waambie hao madogo wasioijua ndoa, eti Ooh bibi zetu hapo zamani za kale walikuwa hawachepuki thubutuuu, walikuwa wanatumia akili na mababu walikuwa wanasuluhisha kwa hekima wakikumbuka 'kuchapiwa ni siri ya ndani ".
Na hata sasa wanawake wanachepuka kwa akili ndo maana watu wanalea watoto wasio wao kwenye ndoa... Anayechepuka waziwazi ujue amemchoka mme wake au ndo wale vichwa box
Akili zetu "ZIMEOANA" π π πkuchepuka kupo tangu na tangu..Akili tu ndio inatumika...Tukianza ongelea UAMINIFU hamna mwenye huo moyo mana hata kuangalia tu kwa kutamani ni kosa so wakubali tu kua Akili inahitajika eneo hili...
Watu wanalea watoto sio wao chungu mzima alafu unasema hamna kuchepuka..Sazingine mtu unachepuka kwa Faida ya mume/mke wako..sio chepuka zote ni tamaa ila kuna mi vichwa BOX ikipata mchepuko linajiingiza zima zima linamsahau hadi mke/mume wake mpk linastukiwa.
π π πAkili zetu "ZIMEOANA" π π π