Cheslea vs Liverpool at the Stanfford Bridge

half hour, nothing to report... redundant goalkeepers... maneno ya ekoku
 
maxi is a shyte... daaayyym
 
Liverpool wanapata nafasi nyingi ya kutumia through pass naona hawako sharp kabisa.
 
shoot maxi with a rubber bullet to stop the leaking a$$
 
dah... hii position mbaya aisee
 
wapigane basi tuone red kadi za wao kwa wao
 
mpira mmeuonaje
 
Mkuu unaangalia mpira upi?

Nilizungumzia specific move,nikiangalia mpira siangalii mchezaji mwenye mpira tu bali naangalia na movement za wachezaji wengine wanaokuwa kwenye nafasi nzuri ya kupokea pasi.

Kwahio pale ni kwamba kuna mtu alikuwa kwenye full speed kushoto kama angeingiziwa mpira alikuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kufanya shambulizi.

mambo ya arsenal kwenye swala la kusoma pasi iende wapi si unajua lool.
 
Rev Masa yupo jamani???:laugh::laugh::laugh:
 

Rev Masa ni mchokozi....you do not have to defend yourself....ataishia kukuchanganya kama mimi jana.....lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…