Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Conditions za kupewa cheti ni hizi hapa:-Jamani naomba msaada kwa anayejua hili, ninahitaji kutumiwa cheti changu kutoka udsm naomba ushauri nifanyeje na niko mkoa wa mara. Kama kuna mtu anaufahamu anisaidie namna ya kufanya au kuniunganisha na mtu anayehusika. Asante wakuu
Conditions za kupewa cheti ni hizi hapa:-
1.Uwe na copy ya transcript..
2.Uwe na copy ya kitambulisho[kama huna basi pata barua ya utambulisho toka serikali za mitaa]..
3.Jaza form ya kuomba cheti inayopatikana utawala rum #108 ..
Ukiweza kumpata mtu ambaye unaweza kumpatia hivyo vitu basi wakati anajaza hiyo form ya kuomba cheti mwambie sehemu ya NAMNA YA KUKIPOKEA CHETI ajaze kuwa kinatumwa kwa Posta..
Hiki ndicho ninachoweza kukusaidia kwa sasa..
Ubarikiwe,mpendwa..
kitu cha msingi kama cheti chako cha elimu uliyoilipia mamilioni ..uliyouza usiku ili uwe macho kujisomea ..HAIYUMKINI UKIPATA AJIRA TU ITAKULAZIMU UKATWE MSHAHARA KUFIDIA DENI LAKO LA MKOPO WA ELIMU YA JUU (nakadiria ulioata mkopo)....
UNACHEZA KAMARI NA MAISHA YAKO MZEE Mwasubi usijaribu kuniaminisha kwamba kuna aina hii ya wasomi wetu nchini