Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Nilifiwa na baba yangu mwaka 2007 ila kwa bahati mbaya hakukuwa na mtu wa kufuatilia cheti cha kifo, sasa nimekua na ninataka kufuatilia cheti icho. Je nitakipata wapi? Na ni hatua gani napaswa kuzifuata ili nipate cheti icho?. Naombeni msaada wenu