Cheti cha ndoa

Cheti cha ndoa

Ng`wanakidiku

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2009
Posts
1,195
Reaction score
232
Siku moja mama mmoja alitoka kazini akamkuta mume wake katulia na ypu makini sana anaangalia cheti cha ndoa na mzungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:
Mke:-Habari za jioni baba...
Mume:-Nzuri
Mke:-Mbona unaonekana unaangalia cheti cha ndoa?
Mume:-Naangalia kama kuna expire date.
 
Back
Top Bottom