Cheti cha NIDA na JKT vinatofautiana majina wakuu, nifanyeje

Mi mwanasheria, nancho mshauri nakielewa by proffessional deed poll ni documents ambayo inaandaliwa kubadilisha jina moja wapo kati ya matatu na kukana mengine au kubadili yote kama mtu atakavyo. Lakini affidavit inatumika kuhalalisha uhalali wa jina kwa matumizi endapo jina limeandikwa kimakosa. Kuandaa deed poll ina maana akane majina mengine na asajili jina jipya ndio maana ya kwenda ardhi kwa msajili. Lakin kesi ya ndugu yetu haihitaji kwenda mbali kote maana ni jina moja ndo linatofautiana na mengine, sio issue kubwa sana aandikiwe kiapo na kigongwe muhuri kuhalalisha majina yake na atapokelewa popote aendapo.
 

[emoji1666]
 
Nenda watu wakuchongee na kukutolea copy ka hyo original kabisa nenda kwa wa stationary wabobevu au uende mahakamani
 
Nenda watu wakuchongee na kukutolea copy ka hyo original kabisa nenda kwa wa stationary wabobevu au uende mahakamani
Nawaza kwenda stationary mkuu lakin ,ila tatizo nawaza namba ile ....

Mfano ,unaweza badilisha jina kwenye Chet cha form four ,ila ile namba ya form four ikitupiwa mtandaoni itaonesha jina halisi ...

The same to Chet cha jkt ,pale Kuna namba ....
 
Nawaza kwenda stationary mkuu lakin ,ila tatizo nawaza namba ile ....

Mfano ,unaweza badilisha jina kwenye Chet cha form four ,ila ile namba ya form four ikitupiwa mtandaoni itaonesha jina halisi ...

The same to Chet cha jkt ,pale Kuna namba ....
Hicho cheti Cha jkt it is possible maana kitatumika tu huko na kitaonyesha number
 
Daaa wakuu nimefuatilia ,nashauliwa kwenda makao makuu jkt ,Sasa Mimi Niko dar ,na makao makuu yamehamia dodoma .....


Changamaoto kweli kweli yani...
 
We chama gani?
 
Daaa wakuu nimefuatilia ,nashauliwa kwenda makao makuu jkt ,Sasa Mimi Niko dar ,na makao makuu yamehamia dodoma .....


Changamaoto kweli kweli yani...
Jaribu napo kwenda pale ilipokuwa makao makuu ya jkt mlalakua pale kawe nadhani napo wanaweza kukusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…