Cheti cha taaluma cha Marehemu

Cheti cha taaluma cha Marehemu

Usiwape ili tupunguze mabashite mtaani, anayepewa Cheti ni muhitimu pekee regardless ya aina ya Cheti husika
 
Wape ni haki ya marehemu ndugu yao
Wataweka kama kumbukumbu kwa ajili ya ndugu yao.
Mfano kwa ajili ya watoto wa marehemu pia ndugu hushiriki kutia moyo na karo kwa ndugu yao, naomba uwape wee ukikaa nacho kitakusaidia nn
 
Wape ni haki ya marehemu ndugu yao
Wataweka kama kumbukumbu kwa ajili ya ndugu yao.
Mfano kwa ajili ya watoto wa marehemu pia ndugu hushiriki kutia moyo na karo kwa ndugu yao, naomba uwape wee ukikaa nacho kitakusaidia nn
Ahsante kwa mawazo yako
 
Wapatie iko cheti maana maana alihitim mafunzo,, itakuwa vzr huenda wanahitaji kama kumbukumbu ya marehem.
 
Hahaha wanyime hao usije kusaidia kuzalisha bashite mwingine
 
WanaJF mrevedi?

Msaada tafadhali! kuna issue inanitatiza kidogo hapa kwenye kakibarua kangu (mama ntilie).

Kuna dada alipata mafunzo yake, akafauli vizuri sana, lakini bahati mbaya kabla vyeti havijatoka akawa amefariki dunia mwezi Me, 2017.

Ndugu zake wananidai cheti cha kuhitimu cha marehemu, na mie ninawaambia kuwa sio haki kutoa cheti cha marehemu kwa ndugu zake.

Msaada wenu wana griti thinka, nani yuko sahihi hawa ndugu wanaodai cheti cha mpendwa wao marehemu au mie ambaye ninawaambia cheti hakitolewi kwa ndugu wa marehemu kwa kuwa hakirithiwi?

Ahsanteni sana.
Wape cheti cha ndugu yao,watakushtaki.Hata hivyo haina haja ya kukaa nacho kwani hakitakusaidia chochote.
 
Back
Top Bottom