Cheti cha ndoa kipo kimoja tu, na vyeti hivi vinatolewa na serikali ya JMT, ufunge ndoa ya aina yeyote ile cheti kitatolewa kimoaja ila zinakuwa copy mbili ya mke na mme. Huu ndo ufahamu wangu mimi nimefunga ndoa ya kanisa katoliki na nimepewa cheti cha serikali, kanisa langu limeridhia kutumia cheti hiki kama hati ya ndoa.