NOLDJAY
Member
- Nov 12, 2011
- 7
- 0
:A S 12:Naombeni msaada Wenu wana JF, mimi natararajia kufunga ndoa kanisani mwez wa 12 mwaka huu. swali ni je cheti cha ndoa nitakachopata kanisani kinatambuliwa na serikali kwenye uhamisho wa mwanamke kumfuata mume? Maana wengine wanasema mpaka cha bomani sasa sijajua tofauti hapo. Nahitaji msaada wenu wana JF:A S 12: