biggirl
Member
- May 25, 2012
- 66
- 12
- Thread starter
- #21
Lokissa mi naona mwishowe watahama maana imekuwa gumzo watu wanaonyeshana tuu cha kusema hawana labda akitokea mwenye pumzi amweleze jamaa hali halisi ila sijui kama ataeleweka.huyo mwanamke atakuwa mchawi na hafai
kwani mume analindwa kwa ndumba?
huyo hana adabu na ataibiwa sana hadi akome