Chezea mume wa mtu??

ingekuwa wezi wote wa waume za watu wanakuwa chizi hadi

mke wa alieloga angekuwa chizi nae. hio ajali kazini.

Kwahiyo na wewe hua unaiba waume za watu? Huogopi kumwagiwa maji ya moto?
 

Yaaani hilo jibaba naona lilisubiri hadi basi kitu kimelowa tuuu hiii no noma...kila la heri mwaya Mungu na akutane na haja za moyo wako.
 
NATA shogaangu ndo kawa chizi hivi tunavyoongea babake kaja kumchukua wanampeleka kwao kanda ya ziwa huyo mwenye mume anaishi mtaani kwetu.sina mazoea naye kivilee ntaanzaje?

Sasa umejuaje kama kamloga?

Wawezakuwa wachuma dhambi bure, shoga ako anamaradhi mengine .lol!
 

Wanakazi kwelikweli!
Maana hawa wanaume vipanga hawaishi kutongoza, so wanaloga kila kukicha?
 
Ila jamani acheni tu, kuiba nako kutamu dah! Wenzangu humu jamvini niambieni hakuna ambaye ameiba kweli??
 

My dear, ni weredi mdogo tu wawanawake, na kuona mwanaume ndio kila kitu, hivi vyote vinapita tu,
ndoa ngapi zimevunjika na waliapa kuwa kifo ndio kitawatenganisha?

So ni mwanamke kujua adui wake hasa ni huyo mwanaume na si wanawake anaokutana nao HUYO MWANAUME . UKIZINGATIA KUWA WANAWAKE WENGI WANATONGOZWA HAWATONGOZI NA PIA huyo mumewe ndio anajua kuwa ameahidi nini na anatakiwa kulinda na kusimamia nini?

Wanaume wengine ni waongo sana, so anaweza akawa amemdanganya huyo dada kuwa hana mke.
 
Hivi ule usemi wa sikio la kufa halisikii dawa nadhani hapa inaweza kuwa quoted lol

Halafu we biggirl: Yaelekea si rafiki mwema, kwani inaonekana unashabikia yaliyomkuta shogaako badala ya kusikiika.
Wewe si rafiki mzuri kabisa!
 
wabongo wanapenda sana kula vya watu....juzi kati tu huko kenya kuna jamaa kanasa kwa my waifuu wa mwenzake

Check kitu live hii hapa...hapa ndio utaamini Jina la Yesu linafanya kazi na Mungu ni Mungu wa rehema...kwasababu amewarehemu hata hawa waliogandani kiunoni .....baada ya Maombi ya mchungaji on the spot kitandani
Mke au Mume wa mtu sumu acha kabisa!!!!
 
Last edited by a moderator:
Halafu we biggirl: Yaelekea si rafiki mwema, kwani inaonekana unashabikia yaliyomkuta shogaako badala ya kusikiika.
Wewe si rafiki mzuri kabisa!

NATA;kikweli ni rafiki yangu ila mambo kama hayo sipendi best na hata akipona nitamwambia lol we unataka mi nikawe kuni kwa matendo yake akuuuu kayataka mwenyewe mi nilimkataza hakuniskia na hata wewe Nata usidhani ni marafiki wote wanaokuchekea usoni moyoni wanafurahia baadhi ya matendo yako lol
 

Acha kuwatisha wenzio wewe...
Inaonekana unamlinda mmeo kwa kutoa vitisho kwa wanaJF...

Umehisi anammega __________ hapa nini?
Ila kasema ameacha...
 
Acha kuwatisha wenzio wewe...
Inaonekana unamlinda mmeo kwa kutoa vitisho kwa wanaJF...

Umehisi anammega __________ hapa nini?
Ila kasema ameacha...

Tuko taratibu nimtishie nani wakubwa wazima humu ?kwanza watamuweza mume wangu sa hizi yuko zake huko anavua samaki wake ukimuona unadhani utamtamani hiyo kurudi yenyewe shombo tupu anakuja ogea nyumbani nimfaidi mwenyeweee lol habari ndio hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…