Chibu Junior kakosa kick ya kutokea

Status
Not open for further replies.
njaa inakusumbuaa pole manake unatumiaa nguvu kubwa while you dont even know the meaning of your signature daah u need a sexy girl from tanga akutoe shida ulizo nazo
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] unatia kinyaa
 
Kila kitu na enzi yake! Usicheze na usawa wa Sizonje
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Reactions: Lee
Naona umeshagundua njia ya mkato na wewe ili upate komenti nyingi,NI KUANZISHA DONGO KWA DIAMOND. Maana sasa hivi kila thread yako ni dongo kwa DIAMOND.
 
Naona umeshagundua njia ya mkato na wewe ili upate komenti nyingi,NI KUANZISHA DONGO KWA DIAMOND. Maana sasa hivi kila thread yako ni dongo kwa DIAMOND.

nikipata comment zitanisaidiaa nini katika maisha yangu labda??dume zima unamsujudiaa mond katafute elaa ww kuliko kushabikiaa mwanaume mwenzio yan sijui mtaacha lini ujinga khaa
 

Kupumzisha mgongo si lazima kama unafanya mazoezi ya kutosha, hata wazungu hawapumzishi migongo. waafrika hatuna utamaduni wa mazoezi ndio maana kutwa uko kitandani kama mgonjwa wakati umejifungua salama.
hata wewe ukiwa na motto wa kwanza una kiherehere zaidi wanaofuata. hii sio kwa Chibu pekee, ni kwa kila mtu. Furaha ya motto wa kwanza ni tofauti na wanaofuata.
mwacheni Zari ni level nyingine wala tusimzungumzie. Umemchoka wewe lakini mwenye chake hajamchoka. Tuache kuwekea watu maneno.
 
Kama imekuchukulia muda kuanzisha uzi humu hiyo ndio kiki,
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…