THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Soon after assassination of president John F Kennedy those days,main stream media zilimuapproach Alhaj Malik Elshabaz a.k.a Malcom X,na kumuuliza kuwa,je nin views zako kutokana na kifo hiki?
Alhaj Malik Elshabaz akawajibu very shortly kuwa his death is like now 'Chicken are coming home to roosting'...hakika ni kauli ambayo ilizua taharuki na kuleta hasira nyingi sana kwa wazungu hadi kwa baadhi ya wenzake ambao Malcom alikuwa nao in The Nation Of Islam,inshort chicken coming home to roosting ni cursing verb ambayo imekuwapo tokea miaka ya 1800 huko ikiwa na maana ya kwamba karma is a bitch,i.e those bad things which you keep on doing day to day in your daily lifetime will automatically come back to you in the future,and if not to you it will be to even your children or to your children's children...
Alhaj Malik Elshabaz alifananisha assassination of president John F Kennedy na maovu ya white people during those days to us blacks like enslavement of our fore father's, mass killings of native Americans, unjustified wars like Vietnam wars, Hiroshima and Nagasaki bombings etc,so kufarik kwake iwe message kuwa mungu anawajibu,
Tukirud kinachotokea kwa sasa hapa kwetu,ni chicken coming home to roosting place,because it's true kuwa kuku ukiwafungulia asbh wakaanza kuranda randa kutafuta chakula jion lazima watarud kwenye mabanda yao kupumzika pale Giza linapoingia,and now it seems dalil za Waz kbs kuwa are coming home to roosting,
It's almost one year since the death of Magufuli,but when we mention him kuwa he was the root cause of all these things watetez wa legacy wanasema kwamba why tusimuache apumzike?why tusi move on?Kwan aliendesha SERIKALI peke yake?..na kadhalika,
Hatummention kwa kumlaum,au kwa kulia na kusaga meno la hasha,na Kuna wanaoenda mbali zaid na kusema nyinyi wengine Regime ikiwa Iko chiki ya mtu anaeamin Iman yenu mnaweka pamba masikion au kuvaa miwan ya Giza,hamuon wala hamsikii,lakin tuwe wakweli tumesahau usiri uliokawepo katika kuongoza nchi hii mwaka mmoja uliopita?tumesahau usiri wa kununua ndege Tena kwa cash huku tukigombezwa kuhoji pesa imetoka wapi na zimenunuliwa vip?kias Cha kwamba hata CAG Assad akanyimwa Access ya kufanya ukaguz?Tumesahau hata tulivyokawa tunazuiwa kuhojj 1.5Trillion imeenda wapi?,kuambiwa kuwa miradi hii mikubwa mikubwa tunajenga kwa fedha zetu za ndani na siyo mikopo?,kukimbia kwa private sector ndan ya hii nchi kutokana na kusulubishwa na wakati mwingine kubambikiwa kodi na kuzuiwa fedha zao?,ni nan alikuwa ana uwezo wa kuhoji,mauaji ya critics of the government na intimidating rival political parties,kuingiliwa kwa bunge na mahakama just to mention but few of them,tumesahau?,that's what we call chicken coming home to roosting...
Ndan ya mwaka huu mmoja Tena baada ya kutokea kwa kifo Cha ghalfa na huyu makamu wake kuchukua kijiti,why matarjio yawe makubwa hivyo na kusahau uhalisia wa tulikotokea?,
Don't quote me wrong,hatupo kutetea Hali halisi ilivyo,ni kweli Hali ni ngumu ila kila kitu kina rootcause yake,kuongoza nchi kubwa kama hii na kwa kipind kama hiki ambacho dunian imepitia changamoto za kiuchumi hasa ukawa na president wa aina ile ambae ameondoka siyo kitu Cha mchezo,
Tukubali,ama tukatae SERIKALI kama ilivyoshauriwa na bunge last week iangalie measure za kufanya SUBSIDY na kuupa nguvu uchumi,wakae chini na wataalam wa uchumi pia na kuangalia jiran zao wanaifanya Nini hususan katika kucurb hii cost ya ongezeko la bei ya mafuta ambayo hatuna uhakika hasa kuwa imeshafikia bar au itaendelea kupanda,
Mabadiliko ya uongoz na uchumi wa nchi hata kama kiongoz awe na utashi wa aina Gani hayawez kuja kwa haraka within one year,lazima tukosoe pale inapobid na kutoa ushaur wa kipi kifanyike kinachofaa kwa manufaa yetu sote kama Taifa.
Alhaj Malik Elshabaz akawajibu very shortly kuwa his death is like now 'Chicken are coming home to roosting'...hakika ni kauli ambayo ilizua taharuki na kuleta hasira nyingi sana kwa wazungu hadi kwa baadhi ya wenzake ambao Malcom alikuwa nao in The Nation Of Islam,inshort chicken coming home to roosting ni cursing verb ambayo imekuwapo tokea miaka ya 1800 huko ikiwa na maana ya kwamba karma is a bitch,i.e those bad things which you keep on doing day to day in your daily lifetime will automatically come back to you in the future,and if not to you it will be to even your children or to your children's children...
Alhaj Malik Elshabaz alifananisha assassination of president John F Kennedy na maovu ya white people during those days to us blacks like enslavement of our fore father's, mass killings of native Americans, unjustified wars like Vietnam wars, Hiroshima and Nagasaki bombings etc,so kufarik kwake iwe message kuwa mungu anawajibu,
Tukirud kinachotokea kwa sasa hapa kwetu,ni chicken coming home to roosting place,because it's true kuwa kuku ukiwafungulia asbh wakaanza kuranda randa kutafuta chakula jion lazima watarud kwenye mabanda yao kupumzika pale Giza linapoingia,and now it seems dalil za Waz kbs kuwa are coming home to roosting,
It's almost one year since the death of Magufuli,but when we mention him kuwa he was the root cause of all these things watetez wa legacy wanasema kwamba why tusimuache apumzike?why tusi move on?Kwan aliendesha SERIKALI peke yake?..na kadhalika,
Hatummention kwa kumlaum,au kwa kulia na kusaga meno la hasha,na Kuna wanaoenda mbali zaid na kusema nyinyi wengine Regime ikiwa Iko chiki ya mtu anaeamin Iman yenu mnaweka pamba masikion au kuvaa miwan ya Giza,hamuon wala hamsikii,lakin tuwe wakweli tumesahau usiri uliokawepo katika kuongoza nchi hii mwaka mmoja uliopita?tumesahau usiri wa kununua ndege Tena kwa cash huku tukigombezwa kuhoji pesa imetoka wapi na zimenunuliwa vip?kias Cha kwamba hata CAG Assad akanyimwa Access ya kufanya ukaguz?Tumesahau hata tulivyokawa tunazuiwa kuhojj 1.5Trillion imeenda wapi?,kuambiwa kuwa miradi hii mikubwa mikubwa tunajenga kwa fedha zetu za ndani na siyo mikopo?,kukimbia kwa private sector ndan ya hii nchi kutokana na kusulubishwa na wakati mwingine kubambikiwa kodi na kuzuiwa fedha zao?,ni nan alikuwa ana uwezo wa kuhoji,mauaji ya critics of the government na intimidating rival political parties,kuingiliwa kwa bunge na mahakama just to mention but few of them,tumesahau?,that's what we call chicken coming home to roosting...
Ndan ya mwaka huu mmoja Tena baada ya kutokea kwa kifo Cha ghalfa na huyu makamu wake kuchukua kijiti,why matarjio yawe makubwa hivyo na kusahau uhalisia wa tulikotokea?,
Don't quote me wrong,hatupo kutetea Hali halisi ilivyo,ni kweli Hali ni ngumu ila kila kitu kina rootcause yake,kuongoza nchi kubwa kama hii na kwa kipind kama hiki ambacho dunian imepitia changamoto za kiuchumi hasa ukawa na president wa aina ile ambae ameondoka siyo kitu Cha mchezo,
Tukubali,ama tukatae SERIKALI kama ilivyoshauriwa na bunge last week iangalie measure za kufanya SUBSIDY na kuupa nguvu uchumi,wakae chini na wataalam wa uchumi pia na kuangalia jiran zao wanaifanya Nini hususan katika kucurb hii cost ya ongezeko la bei ya mafuta ambayo hatuna uhakika hasa kuwa imeshafikia bar au itaendelea kupanda,
Mabadiliko ya uongoz na uchumi wa nchi hata kama kiongoz awe na utashi wa aina Gani hayawez kuja kwa haraka within one year,lazima tukosoe pale inapobid na kutoa ushaur wa kipi kifanyike kinachofaa kwa manufaa yetu sote kama Taifa.