Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimetamaniiii......
leo nilishapanga kula ndizi, kesho menu itakuwa hii.....
tatizo langu nakumbukaga kupiga picha msosi wakati umeshaisha, lol!
Njia nzuri sana hii ya kupasha kiporo cha wali.
farkhina, asante umenifundisha kuongeza matumizi ya mtindi ili nipunguze kutumia nazi. Mtindi naweka kwenye sosi ya biriani tu.
thank u sana wanguBAK mshana jr The Boss Nyani Ngabu ndetichia MziziMkavu JERRY msigwa kuchangumu kiwatengu OLESAIDIMU shansarie amu Swts Ennie Chocs Heaven on Earth Kim nana Kongosho xiexie Mrs Kharusy masai dada Kaunga Ablessed Fixed Point FirstLady1 Angel Nylon gorgeousmimi King'asti CTU Agent Katavi Mentor utafiti na wengine
thank u sana wangu
BAK mshana jr The Boss Nyani Ngabu ndetichia MziziMkavu JERRY msigwa kuchangumu kiwatengu OLESAIDIMU shansarie amu Swts Ennie Chocs Heaven on Earth Kim nana Kongosho xiexie Mrs Kharusy masai dada Kaunga Ablessed Fixed Point FirstLady1 Angel Nylon gorgeousmimi King'asti CTU Agent Katavi Mentor utafiti na wengine
How? Hujambo?
Asante my...ntazimua viporo kama sina akili nzuri!!:smile-big:
Ubarikiwe
Asante habibty. Hii ya kukaribisha Ramadan. In sha Allah will try this
Sijambo my dada!!!!
Ha ha ha haaaa si unajua sio wote watapenda kujifunza maana itakuwa "mke wangu unamjua kuku bint jalfrezi!!!??? Mke :unasema????!! Mume: Ha ha haaaaa leo ntakupikieni!!!!
Ikiwa mara saba tisa kumi wataulizwa maswali watu!!!!!!!
Just a joke bhana we tufundishe! !!!!!!
Rabeka Somo yangu....mwari nishakopi zamaniiii, asante kwa pishi.
Aisee farkhina nahisi hapo nyumbani kwako ni kama 5 star hotel vile. Unarithisha huu ujuzi kwa wapwa(wanao) lakini.? Ama utakuja kufa na ujuzi wako.?