Chicken nugets na sosi ya ukwaju

Chicken nugets na sosi ya ukwaju

Mahitaji
1)Chicken breast(kata vipande vidogo kiasi)
2)pilipili manga
3)mayai
4)chumvi kiasi
5)unga wa ngano
6)Mafuta ya kupikia


Namna ya kutaarisha
1)Weka chumvi katika chicken breast pamoja na pilipili manga...acha vikolee kwa dakika 15
2)paka unga wa ngano juu ya kila kipande cha kuku
3) changanya mayai kwenye bakuli na uweke kila kipande cha kuku...
4)weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi viwe brown....


Sosi
1)ukwaju
2)pilipili kiasi
3)chumvi
4)kotmiri/giligilani
5)tende toa kokwa/asali

1)roweka ukwaju kwa dakika 5
2)toa makokwa na uchanganye na pilipili, chumvi,kotmiri(giligilani),tende ama asali na maji kiasi saga kwa blenda

Chicken nuggets tayari kwa kuliwa...
yam yam yam..
 
Chicken nuggets ni chakula ambacho watoto wengi wanapendelea wakipata na chipsi pembeni....hata wakubwa pia tunapenda....
Ila leo tuwafurahishe wao zaidi
Huna haja ya kuwapeleka mcdonald au merry brown lol...
amu BAK kingasti MziziMkavu Swts Angel Nylon Afro-Arabica MadameX mimi49 Heaven on Earth [MENTION=11835] [MENTION=11835] BelindaJacob life is Short donlucchese SHERRIF ARPAIO ndetichia

mama ngoja nikwambie mie kuku napenda balaa ningekuwa dent wa sasa ningejazwa mimba sababu ya kuku lol
ila hao unaowasema ni kuku matahira kuku wa kienyeji hana hizo maaana mgumu afu yeye mwenyewe mtamu makorombwezo hayamfai.
Kuna siku nilikula dom chako ni chako wale kuku walikuwa wa kienyeji wa foil ila mpaka leo sijajuawaliweka nini yaani alikuwa kama vile anarojorojo kwa uroho nikafakamia na kusahau kuuliza walipikaje.
Kama kuna mdau anajua anisaidie maaana hadi niende dom si leo tena
 
Last edited by a moderator:
farkhina ukiweza weka burger in a simple way namaanisha vile bachelor wa kibongo anaweza pika afu ikanoga baadhi ya sosi nimeweka kwa friji nimemiss sana ila huku kijijini kwzngu hamna
 
Last edited by a moderator:
farkhina ukiweza weka burger in a simple way namaanisha vile bachelor wa kibongo anaweza pika afu ikanoga baadhi ya sosi nimeweka kwa friji nimemiss sana ila huku kijijini kwzngu hamna

Hahahahahaha poaa..
 
Last edited by a moderator:
Jamani Farkhina naomba kujua kuhusu kutengeneza Juice ya Ukwaju pia na Mbilimbi n Mango Pickle Thanks!
 
Mahitaji
1)Chicken breast(kata vipande vidogo kiasi)
2)pilipili manga
3)mayai
4)chumvi kiasi
5)unga wa ngano
6)Mafuta ya kupikia


Namna ya kutaarisha
1)Weka chumvi katika chicken breast pamoja na pilipili manga...acha vikolee kwa dakika 15
2)paka unga wa ngano juu ya kila kipande cha kuku
3) changanya mayai kwenye bakuli na uweke kila kipande cha kuku...
4)weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi viwe brown....


Sosi
1)ukwaju
2)pilipili kiasi
3)chumvi
4)kotmiri/giligilani
5)tende toa kokwa/asali

1)roweka ukwaju kwa dakika 5
2)toa makokwa na uchanganye na pilipili, chumvi,kotmiri(giligilani),tende ama asali na maji kiasi saga kwa blenda

Chicken nuggets tayari kwa kuliwa...

OMG!...........Mate yananidondoka!
 
Chicken nuggets ni chakula ambacho watoto wengi wanapendelea wakipata na chipsi pembeni....hata wakubwa pia tunapenda....
Ila leo tuwafurahishe wao zaidi
Huna haja ya kuwapeleka mcdonald au merry brown lol...
amu BAK kingasti MziziMkavu Swts Angel Nylon Afro-Arabica MadameX mimi49 Heaven on Earth [MENTION=11835] [MENTION=11835] BelindaJacob life is Short donlucchese SHERRIF ARPAIO ndetichia

Mpenzi kuna ile bread crumbs ya American garden si unaweza kutumia hapa? Mi huwa napikaga wale na mifupa yake lkn upishi kama huu
 
Last edited by a moderator:
Mahitaji
1)Chicken breast(kata vipande vidogo kiasi)
2)pilipili manga
3)mayai
4)chumvi kiasi
5)unga wa ngano
6)Mafuta ya kupikia


Namna ya kutaarisha
1)Weka chumvi katika chicken breast pamoja na pilipili manga...acha vikolee kwa dakika 15
2)paka unga wa ngano juu ya kila kipande cha kuku
3) changanya mayai kwenye bakuli na uweke kila kipande cha kuku...
4)weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi viwe brown....


Sosi
1)ukwaju
2)pilipili kiasi
3)chumvi
4)kotmiri/giligilani
5)tende toa kokwa/asali

1)roweka ukwaju kwa dakika 5
2)toa makokwa na uchanganye na pilipili, chumvi,kotmiri(giligilani),tende ama asali na maji kiasi saga kwa blenda

Chicken nuggets tayari kwa kuliwa...

Looks very simpl to make..I will try it na hiv badala ya unga nikiweka bread crumbs it can work?
 
Back
Top Bottom