Chid Benz ametoroka sober house

Chid Benz ametoroka sober house

chinchilla coat

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2016
Posts
5,107
Reaction score
10,969
Chid Benz amedaiwa kutoroka sober house baada ya kukaa muda wa mwezi mmoja, watu waliokuwa wanamuangalia wanasema inawezekana alikuwa hajazoea kukaa kufungiwa kila mara ndio maana akaondoka lakini alikuwa hajapona kabisa
wamedai pia alikuwa mkorofi na alikuwa hayupo tayari kusaidiwa
mahojiano kati ya mwandishi wa na meneja wa Bagamoyo sober house haya hapa kuhusu maisha ya jamaa yalivyokuwa

 
acheni kuzusha mambo nyie nyuki, kalapina kapgiwa simu na sud brown and kajibu kuwa mshkaji hajatoroka bali ameondoka kihalali mana siku alizopangiwa zilikua zimeisha, na alienda kuchukuliwa na kina pina,babu tale na wengne wengi na mpka sasa yupo chini ya babu tale.
 
Nimemsikia Kalapina redioni akisema Chidi ameruhusiwa kuondoka sober na jumamosi wataonyesha Kwenye kipindi cha tv siku Chidi alivyoingia na alivyotoka
 
Watanzania kwa uzushi hamjambo?Mlitaka akae kule milele?Amemaliza muda wake
 
Sasa ameshapona kabisa?
Wasingemuonesha kwanza wangempa kama mwezi baadae nyama zirudi.
 
acheni kuzusha mambo nyie nyuki, kalapina kapgiwa simu na sud brown and kajibu kuwa mshkaji hajatoroka bali ameondoka kihalali mana siku alizopangiwa zilikua zimeisha, na alienda kuchukuliwa na kina pina,babu tale na wengne wengi na mpka sasa yupo chini ya babu tale.
meneja wa bagamoyo sober house ndio kasema ameondoka bila kupona mkuu, sikiliza hapo kwenye mahojiano
Nimemsikia Kalapina redioni akisema Chidi ameruhusiwa kuondoka sober na jumamosi wataonyesha Kwenye kipindi cha tv siku Chidi alivyoingia na alivyotoka
 
HUyo dogo wamuache... he is just finishing himself

Dogo alisahau kabisa kwamba he is just aboy needing society kumfanya awe mwanaume... akakomalia uvulana hadi umemla mazima
 
Watoto wa Ilala vs watoto wa Kino dah mda unakimbia jamani..
 
acheni kuzusha mambo nyie nyuki, kalapina kapgiwa simu na sud brown and kajibu kuwa mshkaji hajatoroka bali ameondoka kihalali mana siku alizopangiwa zilikua zimeisha, na alienda kuchukuliwa na kina pina,babu tale na wengne wengi na mpka sasa yupo chini ya babu tale.

Mkuu hata video huioni??

Grow up you... Drugs sio kama show aisee.... afterall Chidi alikamatwa airport akiwa na unga, sielewi kwanini hata anapata huruma zote hizi

Chagua cha kuandika wewe...
 
post ya kipumbavu sana hii

Mkuu hata video huioni??

Grow up you stupid fool... Drugs sio kama show aisee.... afterall Chidi alikamatwa airport akiwa na unga, sielewi kwanini hata anapata huruma zote hizi

Chagua cha kuandika wewe...
Yule aliyempa laki 9 ya faint Wakati amekamatwa na ngoja ndiye aliyemchimbia kaburi r. I. p
 
Back
Top Bottom