Chid Benz auza nyumba yao iliyokuwa Ilala

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Msanii wa HipHop asiyeishiwa na vituko kila uchao, Chid Benz amekiri kuuza nyumba yao ambayo iliyokuwa kwenye 'apartment' za ghorofa waliyokuwa wanaishi Ilala Jijini Dar es Salaam na kudai sio ya kwanza kuuza kwani ameshauza nyingi mpaka kufikia sasa
Chid ametoa kauli hiyo kufatia mvutano mkali uliyobakia kidogo ampige ripota wa kipindi cha eNewz kutoka EATV, Duwe Santana baada ya kutaka kufahamu juu ya tetesi zilizokuwa zinazagaa kuwa rapa huyo ameuza ghorofa walilokuwa wanashea katika 'apartement' za Ilala na kupolekea kuishi kwa washkaji zake vichochoroni.

"Yeah mimi ndio nimeuza nyumba 'ghorofa' na siyo ya kwanza kuiuza nimeuza nyumba nyingi na sasa hivi naishi kwa Mama yangu mzazi ambapo nyumba nimejenga mimi. Hapa nina kwambia ni nyumba, nimezaliwa Ilala", amesema Chid Benz.

Mtazame hapa chini Chid Benz akitolea ufafanuzi juu ya kuuza nyumba yao ya Ilala Jijini Dar es Salaam.
 
Nyumba ya NHC imeuzwa na Chidi Benz.. kweli pengo la Mchechu linaonekana
Kibaraka wewe, mchechu hajaacha pengo wala NHC, ni mtu mshenzi kabisa huyo shoga yako.

Kazi na malengo ya kuanzishwa NHC ni low cost housing na siyo upuuzi huu aliouleta huyo bwegge wako mchechu kutuletea apartments kwa bei ya millioni 200 mpaka 400.

Huyo ni ng'ombe kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…