Chid benz katoboa pua(picha)..

Chid benz katoboa pua(picha)..

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
msanii wa kizazi kipya CHID BENZZ
chi.jpg
 
Hee mtoto si riziki huyu anapakuliwa tope
 
kuelekea wap.?kwa cameroun au.?
 
Wabongo bana wana chuki za kijanga mbona 2pac alitobowa amkupiga kelele.Mx
 
AKAHAA!!!! WALA HAJAPENDEZA IGA IGA HUYU NAE NA HIYO MIGLASS NDO UTASEMA KABISA SI RIZKI:thinking:
 
waungwana tusiishie kumponda tu! nivyema tumshauli kijana wetu huyu jamani wakubwa chukueni nafasi hii kumueleimisha .
 
oya!! acha ujinga wewe ni wakiume plz naomba ushirikishi ubongo wako unapofanya uamuzi wa jambo. au unataka ukameruniwe? Au nenda mombasa!
 
Back
Top Bottom