Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Familia yke ndo inajua Umuhimu wake
Ana umuhimu katika familia yake ila kimuziki Chidi si mwanamuziki ni mbabaishaji tu. Mwanamuziki anatembea na CD mfukoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia yke ndo inajua Umuhimu wake
Ningemuona mjanja kama angeendelea kuvuta
Aendeleee tu watakaumia ndugu zakeee
Ndio maana hii biashara imeshamiri nchini, kumbe mateja yapo ya kutosha.!
Mkuu hii biashara wateja wake wako maofisini na wanatembelea magari mazito mazito. Wale unaowaona wewe ni last part ndio inawafikia. Ndio maana biashara inashamiri. Usishangae kuona bosi wako ni mteja wa kina riz na kinje
Mkuu Asante kwa kunifungua macho, siku zote nimekua nikijiuliza nani hasa mteja wa hii biashara ya mabilioni kumbe.....!!!!!!
I happened to have direct interaction with some at a rehab center, aiseee ndio nikaanza kuamini kwa nini hata mtoto wa mkubwa yumo kwenye supply. Watumiaji wakubwa wana cash ndefu tuu na ni watu wenye ofisi zao na wengine wana biashara zao za maana!!
usishangae kuwakuta wengine mjengoni. Unga si kilevi cha maskini, hawa wa barabarani wanakula byproducts tu. Kina whitney walimaliza hela zao kwenye unga. Nasikia mpaka 2m kwa siku kawaida kabisa.
Chid alichukua ushauri wakoChidi why uache...endelea bwana kwani hatuoni umuhimu wako hapa Tanzania.