platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Unaweza kutamanisha Vijana!!Nlishawahi kukaa na washkaji ambao nii mateja, jamaa anakuambia stimu yake ni zaidi ya ile raha unayoipata mwanaume unapokojoa bao aka goli aka kupizi, sasa ile stimu inadumu for almost lisaa lizima!! pata picha.
Sent using Jamii Forums mobile app