Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Niko poa mpendwa. Niko nakuona kwa mbaliii tunapishana tu
Kwa kweli rafiki tunapishana...
Nimefurahi kukuona leo, just keep in touch!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko poa mpendwa. Niko nakuona kwa mbaliii tunapishana tu
Nani sasa kwa Tz, sikushangai wakuja unaeiona Sinza Km mtoni.😂😂😂 Mnachekesha sana wadandia muziki ukubwani eti mpaka sasa hakuna rapa kama Chidi
Asante boss😉Kwa kweli rafiki tunapishana...
Nimefurahi kukuona leo, just keep in touch!
Wakati babako analima mtama kwenu mehatu ukooo mzee wangu alikuwa anahodhi maeneo sinza...sasa kwa nini nisipapende kwetu nilipozaliwaNani sasa kwa Tz, sikushangai wakuja unaeiona Sinza Km mtoni.
ngada hizooWakuu Kupitia mitandao yake ya kijamii rapa huyo mkongwe wa Bongo Fleva Rashidi Abdallah Mohamed Makwiro alimaarufu kama Chid Benz ameandika kuwa.
.
Kuna namna Wasanii wanakua chini kifedha but saa zingine kuna mengi. Kuna wengi ambao wanasababisha maisha hayo na wao hawaonekani wala kujulikana zaidi ya wao tena kuchangia uonekane umefeli.
Kuna namna nimefatilia pesa zangu na watu wanaozimiliki na kuziiba. Okke kuna wakati Binadamu unaghafilika ila haimaanishi uchukue vyangu kwa ujinga unauona wewe.
Nimepigania Ncho yangu nimepigania mashabiki wangu na nimewapa Burudani Wananchi wangu wa ndani na Nnje. Bora kuniibia au kunionyesha labda sitokula mimi ila Wanangu watapata na Mama zao? Familia yangu pia hata Mashabiki zangu.
Unaiba zangu za wengine na husaidii chochote zaidi ya kubomoa kuhonga na kula Bata. Then mimi kichaa? Okkay. Online tvs watu wa habari na vyombo vyote kwa faida ya kizazi kijacho namba hii hapa. NATAKA KUONGEA. 0764155608″
.
Credit To Bongo5View attachment 2219414
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mondi ana elimu?Kipaji bila elimu hilo nalo ni ttzo...mda wa kwenda shule ww unakesha bilicanas na totoz..you must pay!
Huyu ana rap Domo anaimba kuna mwanamziki alishawahi sema rap haina biasharaHuyu dogo angekua na akili hawa madogo sijui diamond na mayonaise wangemsikia mbali sana.
Kwa bongo mpk sasa hakuna rapa kama Chid.
Sema ndo hivyo tena.
Anaishi alivyochagua