Chid Benz: Wameniibia pesa zangu, ushahidi ninao

Unaitwa nani,chidi soo mtoto wa ilala... Chid benzi=Q-Tip + Method Man + Busty rhymes... Ma nigga" chid benz!
 
ngada hizoo
 
KWENYE KUMI (10) BORA YA MAZUZU HUYU YUMO.
 
Kipaji bila elimu hilo nalo ni ttzo...mda wa kwenda shule ww unakesha bilicanas na totoz..you must pay!
 
Daaah mwamba sijui kwanini alikula Yale madude😭......
 
Huyu dogo angekua na akili hawa madogo sijui diamond na mayonaise wangemsikia mbali sana.
Kwa bongo mpk sasa hakuna rapa kama Chid.
Sema ndo hivyo tena.
Anaishi alivyochagua
Huyu ana rap Domo anaimba kuna mwanamziki alishawahi sema rap haina biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…