nashkur kwa kunipa taarifa za kutia moyo na iman kuhusu mama yake kwa 7bu hata mm nlikua naona impossible kumtelekeza mwanaye lakn labda niandke kwamba yawezekana malez au uangalizi toka utoton haukuwa imara lakn nsiandke k2 ambacho cna uhakika nacho so kwa hlo namuachia mama yetu na Mungu wake..pia nampa pole na kumuomba ashare experiences zake za tazo hlo na wamama wengne ili kutoa nafas ya kuwaonya katika kuwalea au uangalizi wa watoto wao yacje kuwakuta hayo..chidy tutaendelea kumuombea kwa Mungu kwa uvumlvu na Imani, lakn bado namshaur kwa nguvu zote kuwa na yy apaze saut asiishie kwny unga na ukorofi bas angalau afanye k2 ambacho ni life changer na sio life looserMama ake yupo Na ndie anajitaidi kuzunguka kwa watu tofauti tofauti ili wamsaidie mwanae.
Na hata Chid alipotoka rehab mama ake alikuwa anazunguka nae usiku kila Chid anapofanya show ili awe karibu Na mwanae Na kuongea Na wadau wasimtupe mwanae bali wamsaidie.
Na kila siku mama ake analia Chid arudi kufanya kazi Na kina babu Tale ila Chid hataki anasema wakina Tale wanamuibia wanamtumia tu bila yeye kupata chochote.
Chid ni mbishi na mjuaji aliuza nyumba yao Ilala mpaka Leo mama yake anaishi kwa ndugu huku chid Mwenyewe akiwa anatanga tanga maana ndugu hawamtaki hataharibu watoto wao