Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

Mama ake yupo Na ndie anajitaidi kuzunguka kwa watu tofauti tofauti ili wamsaidie mwanae.

Na hata Chid alipotoka rehab mama ake alikuwa anazunguka nae usiku kila Chid anapofanya show ili awe karibu Na mwanae Na kuongea Na wadau wasimtupe mwanae bali wamsaidie.

Na kila siku mama ake analia Chid arudi kufanya kazi Na kina babu Tale ila Chid hataki anasema wakina Tale wanamuibia wanamtumia tu bila yeye kupata chochote.

Chid ni mbishi na mjuaji aliuza nyumba yao Ilala mpaka Leo mama yake anaishi kwa ndugu huku chid Mwenyewe akiwa anatanga tanga maana ndugu hawamtaki hataharibu watoto wao
nashkur kwa kunipa taarifa za kutia moyo na iman kuhusu mama yake kwa 7bu hata mm nlikua naona impossible kumtelekeza mwanaye lakn labda niandke kwamba yawezekana malez au uangalizi toka utoton haukuwa imara lakn nsiandke k2 ambacho cna uhakika nacho so kwa hlo namuachia mama yetu na Mungu wake..pia nampa pole na kumuomba ashare experiences zake za tazo hlo na wamama wengne ili kutoa nafas ya kuwaonya katika kuwalea au uangalizi wa watoto wao yacje kuwakuta hayo..chidy tutaendelea kumuombea kwa Mungu kwa uvumlvu na Imani, lakn bado namshaur kwa nguvu zote kuwa na yy apaze saut asiishie kwny unga na ukorofi bas angalau afanye k2 ambacho ni life changer na sio life looser
 


Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya
Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa
Watu kadhaa walitabiria Chid Benz kurudia kutumia madawa kutokana na msanii huyo kukosa nidhamu na utabiri wao umetimia

Hakuna mbwia unga anayeacha ila hupumzika tu
 
masikini chid benz leo umekua wa kuandikwa hivi?. Nilikuona Ilala ulivyo sasa, nikajiuliza, ulijua madhara ya kutumia madawa ya kulevya? inauma sana lakini ndio maisha uliyoyachagua.
Unavuna ulichopanda.
Asiyesikia la mkuu???
Kwanza huyo ana familia yake,why haina mda nae
 
Madawa ya kulevya sio mabaya inategemea mtumiaje anatumia gredi ipi.... Na anayo pesa ya kutosha.

Tofauti na hapo utakuwa teja ambaye achoka kwa sababu unatumia madawa ya kulevya gredi ya chini wanaita " unga mchafu "
Na huwezi kubadili damu kila baada ya miezi 6.
Gharana zote hizo za nini sasa ???
 
Mama ake yupo Na ndie anajitaidi kuzunguka kwa watu tofauti tofauti ili wamsaidie mwanae.

Na hata Chid alipotoka rehab mama ake alikuwa anazunguka nae usiku kila Chid anapofanya show ili awe karibu Na mwanae Na kuongea Na wadau wasimtupe mwanae bali wamsaidie.

Na kila siku mama ake analia Chid arudi kufanya kazi Na kina babu Tale ila Chid hataki anasema wakina Tale wanamuibia wanamtumia tu bila yeye kupata chochote.

Chid ni mbishi na mjuaji aliuza nyumba yao Ilala mpaka Leo mama yake anaishi kwa ndugu huku chid Mwenyewe akiwa anatanga tanga maana ndugu hawamtaki hataharibu watoto wao
bas akamatwe na polisi apelekwe gerezan af baada ya hapo shamban kulima..huku akiipewa adhabu ya kutumia doz la cvyo kifungo kinaongezeka
 
Tatizo umeshakariri kuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya lazima awe na hali mbaya then mchafu mchafu, ndio maana nikasema wanatumia unga mchafu.

Wapo wanaotumia madawa ya kulevya hapa hapa bongo but their still smart na wana pesa.
Huwezi kutumia unga gredi " A " kama huna pesa.

[emoji12] [emoji95] [emoji379]
Hujajibu swali langu,hatuangalii u smart tunaangalia madhara,wanatoa damu ili iweje??
 
Hapa tuandike tu lakini ukimuona Chidi benzi utamuonea Huruma anazunguka kwenye ma Bar usiku hasa kinondoni maeneo ya Masai Club na papichulo anaomba kuimba angalau mkono uend kinywani. Binfsi nilimuona Chozi likanidondoka
 
Hapa tuandike tu lakini ukimuona Chidi benzi utamuonea Huruma anazunguka kwenye ma Bar usiku hasa kinondoni maeneo ya Masai Club na papichulo anaomba kuimba angalau mkono uend kinywani. Binfsi nilimuona Chozi likanidondoka
inatia huruma lakn ata mama yake a share experiences zake na jamii ili na wa mama wengne wapate kujua ugum watakaoupata endapo watazembea kuwalea watoto wao kwenye maadili na uangaliz wa hali ya juu hasa watoto wa kiume sisemi kwamba na yy alizembea, no..lakn itasaidia sana, i think so.
 
Hujajibu swali langu,hatuangalii u smart tunaangalia madhara,wanatoa damu ili iweje??
Wanatoa damu kwa sababu inakuwa imechafuka kwa matumizi ya dawa za kulevya hivyo hushauriwa kubadili ama kutoa damu chafu na kuingiziwa damu mpya.
Inategemea na uchumi wako ukoje ila hii ni kwa madon ( watu wenye pesa )

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Wanatoa damu kwa sababu inakuwa imechafuka kwa matumizi ya dawa za kulevya hivyo hushauriwa kubadili ama kutoa damu chafu na kuingiziwa damu mpya.
Inategemea na uchumi wako ukoje ila hii ni kwa madon ( watu wenye pesa )

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Na madon nao huathiriwa na ngada,,,
 
Jamaa kiukweli kwa tunae mwona jamaa yuko kwenye hali mbaya sana tena sana yani asa kawa mteja kushinda alivyokuwa mwanzo alafu kama kadata hv maana anaongea peke hata ukizungumza nae anaonekana amedata kabisa so kiukweli jamaa anahitaji msaada tena msaada mkubwa sana ili aweze kurudi katika hali yake ya kawaida tena waharaka maana anaweza kupotea me nshawahi mwesabia siku anavyo vaa mavazi yake nguo alizo nazo asa zina siku ishirini ajabadilisha anavaa jinsi nyeusi na shati ya black na sendo mbovu kabisa anaonekana sana mitaa ya kino manyanya
So sad na unajuwa hawa wasanii wanaishi maisha sio yao sasa pesa ikikata kidogo stress na chanzo ukweli mziki unashikwa na mafia wa 4 Salam, B. Tale, Mkubwa na clouds sasa usipoenda nao wanafunga milango lazima soko la mziki libadilike kitu kizuri kiende sio power ya watu ndio maana kelele nyingi media lakini husikii mziki bora. Vijana ishini maisha yenu utasikia fulani and Million 4$ kweli uwe na pesa hizo usikae Masaki tuacheni utani.
 
Nitamwaribia Mkuu na siwezi kumtaja ila Wasanii wenzie wanalijua sana hili nililolisema hapa na hata huyo Mtu wanamjua mno. Nasisitiza tena kusema kuwa LAANA huwa haina TIBA na naomba niishie hapa tafadhali.
Hapa kidogo umetushtua maana laana ni kutoka kwa wazazi na kama ni wazazi tujue ili watu wakamuombee wamsamehe maana dawa ya laana ni msamaha wa kweli.
 
Mama ake yupo Na ndie anajitaidi kuzunguka kwa watu tofauti tofauti ili wamsaidie mwanae.

Na hata Chid alipotoka rehab mama ake alikuwa anazunguka nae usiku kila Chid anapofanya show ili awe karibu Na mwanae Na kuongea Na wadau wasimtupe mwanae bali wamsaidie.

Na kila siku mama ake analia Chid arudi kufanya kazi Na kina babu Tale ila Chid hataki anasema wakina Tale wanamuibia wanamtumia tu bila yeye kupata chochote.

Chid ni mbishi na mjuaji aliuza nyumba yao Ilala mpaka Leo mama yake anaishi kwa ndugu huku chid Mwenyewe akiwa anatanga tanga maana ndugu hawamtaki hataharibu watoto wao
Feel sorry kwa Mama yaani kina mama ndio wanateseka na hawezi kumtupa mwanae never wanawake God bless you all. Jamani tusifanye kwa ajili yetu tunawaumiza kina mama wametuzaa kutulea na bado ukubwani tunawatia simanzi na kuwauwa kwa uchungu. Big no
 
Hii issue hawa jamaa walikuwa wanatafuta kick Chidi Benz alipaswa kukaa sober house si chini ya miezi 6, kuacha madawa ya kulevya sio kazi rahisi
**** wengine wanaacha mkuu ila kwa muda mrefu sana,kuna mmoja yeye alikuwa na nia kabisa ya kuacha huyo jamaa vijiwe vyake vya kushinda ilikuwa ni kwenye kahawa tu, baada ya hapo ni home na pocket money yake ni buku au jero ya kahawa,hataki izidi hapo
 
Sober house ya ukweli ni mochwari pekee. Ukipelekwa kule hutorudia tena ngada na wote waliopelekwa kule wameacha jumla!! Hizo nyingine ni kupotezeana muda na fedha buree!!
 
Back
Top Bottom