Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tumuonee huruma sio kumsema vibaya..km angekuwa mwanao au baba yako ungemkashifu?..Huyu msanii apate mshauri mzuri aanze rihab insha allah naamin One day Atapona..
hakuna alie msafi...kuna uteja wavitu vingi kuna wengne humu nimateja wawanawake miteja ya pombe mxxxiu
Mteja hana cha baba wala mtoto. Thubutu kujipendekeza utakiona cha moto.