Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Chid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini.
Hii ni kama kumwaibisha mtu sasa alikubali nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kama kumwaibisha mtu sasa alikubali nini?
Sent using Jamii Forums mobile app