umeshakuwa bibi jamani nipe mwaliko basi nije na mm ?Nitamkodi kwenye harusi ya mwanangu
kusema ukweli ni kumwaibisha ? kwani sio kweli ?Chid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini.
Hii ni kama kumwaibisha mtu sasa alikubali nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo toto kwenye avatar umelipendea nini?
Pale ndipo nilipojua Chidi dakika tatu mbeleIle collabo yake na 2Pac hivi bado tu...?
Nimelipendea mashavu yake.Hilo toto kwenye avatar umelipendea nini?
Kwa chid anastaili lkn kipaji chake hakistahili hiyo helatena hiyo laki 3 amependelewa sana.
kwamba Harmonize kamfunga kamba Chidi Benzi na kumpandisha jukwaani kwa malipo ya laki tatu ambayo Chidi hakuyaafiki??Hermonize amekuwa kama Ruge na yeye.
Hilo toto kwenye avatar umelipendea nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]