Hapa unazungumzia kifo, jela na taasisiHarmo nae anachukua teja,marehemu Langa alisema ukishakuwa teja kuna vitu vitatu vya kupitia Chid kashapitia viwili
LAKI 3 NYINGI SANA KWENDA KUMUANGALIA MVUTA BANGI AKIPIGA KELELE!!! WANAMZIKI WENGI WA KIBONGO HAWASTAILI KUPEWA HATA LAKI MOJA WAKIWA WANAPERFORM LIVE KWANI KUFANYA SHOW YA LIVE WENGI NI KELELE TU!!!! ZERO ZERO ZERO UTASIKIA PIGA MAKOFI MARA PIGA KELELE!!!! NA HUWA WANAKUWA WAMELEWA AU WAMEKUJA KWA KUCHELEWA UKUMBINIChid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini.
Hii ni kama kumwaibisha mtu sasa alikubali nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
...show kama hyo Mond anamlipa chid 1.5 mil Kwa performance ya nusu saa...
HahaahaUnamlipa Laki 3 msanii aliepiga kolabo na 2 Pac Shakur?!!
Namaanisha chid kashidwa kukitetea kipaji chake anakipajo kikubwa siyo kupewa 30kAngebaki home angeiingiza pesa hiyo kwa muda aliofanya kazi? Baada ya kupata pesa hiyo kapiga show gani tena?
Katumwa huyu.
Si ameacha kutumia hayo madude?Laki 3 kwa teja anaona kapata hela mingi.