Chief executive officer mwenye tabia ya ushoga

Chief executive officer mwenye tabia ya ushoga

SAMAMBILE

Member
Joined
Jul 4, 2012
Posts
17
Reaction score
1
Chief Executive Officer kutoka nchi "X" ambaye ni shoga.Ameingia nchini Tanzania kwa lengo la kuja kuangalia wanafunzi yatima ambao wanasomeshwa na NGO anayoiongoza yeye mwenyewe kama CEO.Mara anaanza kuonyesha tabia yake ya ushoga akiolewa na mtanzania.Jamii ya watanzania tumelijua hilo ila bahati mbaya hatujamkamata live HUYU SHOGA akifanya ushoga wake.Zaidi tu ya ushahidi wa mazingira kutoka kwa ndugu wa mtanzania na watu wengine wanaowaona wakiwa pamoja.Wadau kuna kifungu chochote cha sheria kinachompa nguvu mtu yeyote kufungua kesi mahakamani kulalamikia kitendo hiki cha CEO na Mtanzania wetu?Na ikibidi huyu CEO apigwe marufuku kuja Tanzania?
 
Chief Executive Officer kutoka nchi "X" ambaye ni shoga.Ameingia nchini Tanzania kwa lengo la kuja kuangalia wanafunzi yatima ambao wanasomeshwa na NGO anayoiongoza yeye mwenyewe kama CEO.Mara anaanza kuonyesha tabia yake ya ushoga akiolewa na mtanzania.Jamii ya watanzania tumelijua hilo ila bahati mbaya hatujamkamata live HUYU SHOGA akifanya ushoga wake.Zaidi tu ya ushahidi wa mazingira kutoka kwa ndugu wa mtanzania na watu wengine wanaowaona wakiwa pamoja.Wadau kuna kifungu chochote cha sheria kinachompa nguvu mtu yeyote kufungua kesi mahakamani kulalamikia kitendo hiki cha CEO na Mtanzania wetu?Na ikibidi huyu CEO apigwe marufuku kuja Tanzania?
He who feeds you controls you.
 
....inabidi ue na ushahid wa kutosha saaana....mara nying ktk ayo mambo hua ni vigumu saaana....kama ilivo kes za uchawi...

otherwise....mtajikuta,mnaageuziwa kibao na bongeee la defamation case....
 
Anayeliwa jicho mwingine, kuumia uumie weweeeee....Majangaa!
sasa wataka uliwe weye yakhe!

Chief Executive Officer kutoka nchi "X" ambaye ni shoga.Ameingia nchini Tanzania kwa lengo la kuja kuangalia wanafunzi yatima ambao wanasomeshwa na NGO anayoiongoza yeye mwenyewe kama CEO.Mara anaanza kuonyesha tabia yake ya ushoga akiolewa na mtanzania.Jamii ya watanzania tumelijua hilo ila bahati mbaya hatujamkamata live HUYU SHOGA akifanya ushoga wake.Zaidi tu ya ushahidi wa mazingira kutoka kwa ndugu wa mtanzania na watu wengine wanaowaona wakiwa pamoja.Wadau kuna kifungu chochote cha sheria kinachompa nguvu mtu yeyote kufungua kesi mahakamani kulalamikia kitendo hiki cha CEO na Mtanzania wetu?Na ikibidi huyu CEO apigwe marufuku kuja Tanzania?
 
Unless u catch them in the act, there is nothing you can do about it. Na ukiwakamata hilo nikosa, unaenda kushitaki polisi, hilo nikosa la jinai.
 
Anayeliwa jicho mwingine, kuumia uumie weweeeee....Majangaa!
sasa wataka uliwe weye yakhe!

The mercy,love and grace of God is more than enough if you confess your foolness.Your mouth will be cleaned from your unrighteousness.
 
....inabidi ue na ushahid wa kutosha saaana....mara nying ktk ayo mambo hua ni vigumu saaana....kama ilivo kes za uchawi...

otherwise....mtajikuta,mnaageuziwa kibao na bongeee la defamation case....

Thanks in advance!
 
hapo hakuana ushaidi wakutosha so siku muwekeeni mtego kisha muupe kipigio cha kufa mtu
 
Chief Executive Officer kutoka nchi "X" ambaye ni shoga.Ameingia nchini Tanzania kwa lengo la kuja kuangalia wanafunzi yatima ambao wanasomeshwa na NGO anayoiongoza yeye mwenyewe kama CEO.Mara anaanza kuonyesha tabia yake ya ushoga akiolewa na mtanzania.Jamii ya watanzania tumelijua hilo ila bahati mbaya hatujamkamata live HUYU SHOGA akifanya ushoga wake.Zaidi tu ya ushahidi wa mazingira kutoka kwa ndugu wa mtanzania na watu wengine wanaowaona wakiwa pamoja.Wadau kuna kifungu chochote cha sheria kinachompa nguvu mtu yeyote kufungua kesi mahakamani kulalamikia kitendo hiki cha CEO na Mtanzania wetu?Na ikibidi huyu CEO apigwe marufuku kuja Tanzania?
Duh, taabu sana; ili kudadavuliliwa anaunda hadi ngo! hatari. Hiyo ngo inabidi kufutwa isije kua mpango wa kuzalisha mashoga. Hawa wazungu simnajua wameshikia bango ushoga sijui wana agenda gani na binadamu.
 
Back
Top Bottom