Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Kama Yule WA Pugu. Yeye group kujiunga kama sikosei ilikuwa laki 5. Nahisi wanatumia ushirikina pia.
 
Dogo ni mshamba ila pesa anazo pesa haijifichi nyumba anayoishi na mazingira anayotembelea kula Bata ni sehemu ghali sana shida haieleweki anafanya kazi gani post zake inaonesha wazi kuna kitu kinamtesa hayupo vizuri saikolojia yake.
Hahahahahahahaaaa.
 
wabongo halisi mumeonekana.
muna wivu sijapata kuona.

mwenzenu anatumía mitandao kupata hela nyie mnamsema vibaya
uzuri yeye hajali lolote nandio sifa yakiumeni nyie waseng..r endeleeni kujadili nakusema nihela zauchawi

nawewe Loga tuone
 
Hapo kwenye kukatazwa mbususu hizo ela sitaki. Duh!
 
Unaowauliza wengi wamechanganyikiwa.
Tegemea kupata majibu ya mzaha.
 
NI ndusta flan, mumbugila mbugila katoka Mbeya!
 
Hasa sisi ngozi nyeusi akifanikiwa mwingine ni ushirikina na ukifanikiwe wewe ni za halali yaani kuna vikwazo mpaka vya maneno!huyu mshikaji ni mnyaki tatizo ana ulimbukeni mwingi.
Kufanikiwa kwa kuuza perfume za miujiza??
 
Kuna taasisi imefanya utafiti, hakuna mkulima mwenye zaidi ya eka kumi za kokoa Kyela. Sasa hayo mashamba makubwa ya Godlove yako wapi ili tuwasaidie watafiti
Project ya kizimkazi huyo ,anafanya spinning kwenye mitandao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…