Acha chuki wewe wewe ni mchawi. Huko hapo uswahilini unapanga foleni chooni.Au sio? Haya tuma salamu kwa watu watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha chuki wewe wewe ni mchawi. Huko hapo uswahilini unapanga foleni chooni.Au sio? Haya tuma salamu kwa watu watatu
Sawa choxAcha chuki wewe wewe ni mchawi. Huko hapo uswahilini unapanga foleni chooni.
Acha wivu weweee kwa waliofanikiwaSawa chox
😂😂😂😂Sawa chox
*****😂😂😂Nasikia Mungu aliumba siku 6,siku ya 7 Alipopumzika ,shetani akamvizia akaumba wasukuma.
Wala sio mzozoChanzo cha pesa ndo kamzozo
Gambe ndio kabisaa anaowapa hela anasema usipige nazo bwiiNaona wanasema kanyimwa uhuru wa kula mbususu, aisee mimi ninyime vyote usininyime gambe na kyuma, tutapigana ww3
AiseeeeeAu sio? Haya tuma salamu kwa watu watatu
Umewai kuona anapigapiga makelele "nakupa hela"hovyo mitaani km mwehu,Papa msofe si tapeli
Haha-Jumamosi Tar 20 Biafra anagawa Mchele na Mitaji kwa kina Mama usikose kwenda.
Anashusha Tani 5 za Mchele kutoka Mbeya Kyela.
Pesa Kidogo Mbao Nyingi.
Kiongozi wa chama na Serikali.
Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi.
Ukimuona yeye umeona hela.
Jicho la tatu na nguvu ya pesa.
Huyu ni TAPELI tu-Jumamosi Tar 20 Biafra anagawa Mchele na Mitaji kwa kina Mama usikose kwenda.
Anashusha Tani 5 za Mchele kutoka Mbeya Kyela.
Pesa Kidogo Mbao Nyingi.
Kiongozi wa chama na Serikali.
Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi.
Ukimuona yeye umeona hela.
Jicho la tatu na nguvu ya pesa.
Huyu ni TAPELI tu
Ova
Yuko na wenzake hata hayo magari sijui majumba wanaazima tuSure ,Jamaa ashajua kucheza na akili za wabongo ,wabongo wanapenda SLOPE aka KITONGA aka Kupata Pesa kwa njia za miujiza na anapita nao MULE MULE...
Yuko na wenzake hata hayo magari sijui majumba wanaazima tu
Nchi hii especially kizazi cha sahvi ni cha wajinga wajingaaa tu
Ova
Bado sijamwelewa chief
Siku zote wajinga ndiyo mtajiJamaa anatumia akili kubwa sana kupiga pesa ,anawaaminisha kwamba yeye ni tajiri kwa kukodi magari na majumba .ukimuamini tu anakwambia ingia kwenye kundi lake ujpate siri ya utajiri ,kiingilia ni laki then ukishaingia anauza perfume na pete za miujiza ...Perfume anauza milioni moja...😀😀😀