25 February 2023
Bukoba, Tanzania
MKUTANO WA HADHARA WA CHADEMA TOKA KIWANJA CHA MAYUNGA BUKOBA
Mbunge wa roho za watu katika jimbo la mioyo ya wakazi wa Bukoba mjini afunguka alivyotekwa na wenye bunduki 4 kwenye uchaguzi wa 2020.
Hayo yalijiri wakati CHADEMA walivyofungua mkutano wa hadhara na kusisitiza katiba mpya ili nchi iende vizuri.
Chief Karumuna amezungumzia kwa kina alivyotekwa na watu wenye bunduki 4 mara baada ya uchaguzi wa Oktoba 2020 na kukosa fursa ya kwenda kuhesabu kura ktk ofisi ya Halmashauri na baada ya hapo kupewa kesi hatari sana.
Leo jeshi la polisi tarehe 25 February 2023 wametekeleza jukumu lao vizuri kusimamia usalama wa raia tofauti na miaka 7 iliyopita.
Kuhusu maendeleo ya Bukoba mjini, wafadhili walipiga saluti walipokuta utawala bora mjini Bukoba uliokuwa chini ya CHADEMA lenye baraza la madiwani la mchanganyiko wa madiwani toka CHADEMA, CUF na CCM kabla ya uchafuzi wa uchaguzi wa 2020
Viongozi mbalimbali wa CHADEMA mkoa wa,Kagera akiwemo wakili Dustan Mutagahywa katibu wa CHADEMA mkoa wa Kagera akazungumzia kero mbalimbali zinazohitaji ufumbuzi
Bukoba, Tanzania
MKUTANO WA HADHARA WA CHADEMA TOKA KIWANJA CHA MAYUNGA BUKOBA
Mbunge wa roho za watu katika jimbo la mioyo ya wakazi wa Bukoba mjini afunguka alivyotekwa na wenye bunduki 4 kwenye uchaguzi wa 2020.
Hayo yalijiri wakati CHADEMA walivyofungua mkutano wa hadhara na kusisitiza katiba mpya ili nchi iende vizuri.
Chief Karumuna amezungumzia kwa kina alivyotekwa na watu wenye bunduki 4 mara baada ya uchaguzi wa Oktoba 2020 na kukosa fursa ya kwenda kuhesabu kura ktk ofisi ya Halmashauri na baada ya hapo kupewa kesi hatari sana.
Leo jeshi la polisi tarehe 25 February 2023 wametekeleza jukumu lao vizuri kusimamia usalama wa raia tofauti na miaka 7 iliyopita.
Kuhusu maendeleo ya Bukoba mjini, wafadhili walipiga saluti walipokuta utawala bora mjini Bukoba uliokuwa chini ya CHADEMA lenye baraza la madiwani la mchanganyiko wa madiwani toka CHADEMA, CUF na CCM kabla ya uchafuzi wa uchaguzi wa 2020
Viongozi mbalimbali wa CHADEMA mkoa wa,Kagera akiwemo wakili Dustan Mutagahywa katibu wa CHADEMA mkoa wa Kagera akazungumzia kero mbalimbali zinazohitaji ufumbuzi