Chief Kiumbe akiri kwamba amekaa sana Mombasa

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia Kwenu JF,
Kuna habari nyingi kuhusu huyu pedejhee kusaidia sana wasanii wa bongo flavor na mambo mengi yanayofanana na hayo,leo kupitia mkasi amekiri kwamba amekaa sana MOMBASA na huku ndio amepata hamasa ya kusaidia wasanii wakiwemo kina matonya,tunda man,shettah etc
 
"Mimi sio Msomi ila mungu angenijalia usomi nisingekuwa na hela"--Chief Kiumbe.
 

Siku hizi kuishi moshi ni hatari kuliko kuishi MOMBASA
 
"Mimi sio Msomi ila mungu angenijalia usomi nisingekuwa na hela"--Chief Kiumbe.


Ndo alienda kuwatapeli wagiriama wa mombasa baada ya wakurya kumstukia??

Watu wa magumashi magumashi hawa...
 
Duuuuh ila sijamuelewa kimuonekano mtoto wa shekhe.....ana kitambi lakin hana afya!!
 
yaani anakwambia siku hz hachepuki
ila amekaa kipole jamaa
 
Kwa hiyo vijana wetu kwisha kazi..
 
Jamaa kumbe ni conman lol

Domo ligwaride likamshinda akarudisha V8 alifikiri ni one time thing..wengine shetta,hussein machozi kaenda kumla mke wa jamaa mombasa jeba likastuka likamla 071....wabana pua majanga
 
Last edited by a moderator:
Ankethi Mombasa kwa mda mrefu,au ankwenda kujifitha? mwambie asiseme urongo twayajua afanyaoo lakini twamsitiri........
 
Domo ligwaride likamshinda akarudisha V8 alifikiri ni one time thing..wengine shetta,hussein machozi kaenda kumla mke wa jamaa mombasa jeba likastuka likamla 071....wabana pua majanga

heee!!!!
kumbeeee!!!
 
Wabongo nyoko kwa kutafsiri maneno ya mtu kama wao ndio wamemuwekea mdomoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…