Chief Kiumbe akiri kwamba amekaa sana Mombasa


kipndi kizuri kweli kileee
mi nakikubali sana
 
Last edited by a moderator:
Natamani sikumoja nisikie Chief Kiumbe kamfadhili na Kalapina coz naye ameanza kubana pua tuone njemba linavyotoa 0718 kiroho safi
 
Ankethi Mombasa kwa mda mrefu,au ankwenda kujifitha? mwambie asiseme urongo twayajua afanyaoo lakini twamsitiri........

wathakani kwani weweee!!ishisemwa kuwa alipata ishi Mombasa ila sasa yuaishi Daa, wanabongoflava wamaiii!
 

Ndio maana ....
 
Muuza Sura;
wapi mboni show?


Yupo kwa etooo!
 
Siku hizi kuishi moshi ni hatari kuliko kuishi MOMBASA
Wachagga wameanza lini tena hiyo michezo ya Pwani jamani!
 
Huyu jamaa nasikia yupo vizuri kwa kupigana karate kweli jamani pili anapata nini kwa wasanii anapowapatia magari?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Huyu jamaa nasikia yupo vizuri kwa kupigana karate kweli jamani pili anapata nini kwa wasanii anapowapatia magari?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Yeah jamaa ni senshee wa karate alikuwa na black belt,kuhusu kufaidika ni ukarimu tu wake baada ya kukaa mombasa akaona ni bora aanze kuwasaidia choki alipewa gari,diamond alipewa gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…